Mhadhara wa Kiprofesa na Profesa Rwekaza Mukandala, Mwanzo-Mwisho Historia ya MV Bukoba
Katika Mhadhara huu uliofanyika katika ukumbi wa Nkurumah leo Mei 21,2024, Profesa Rwekaza Mukandala ameangalia namna meli ya MV Bukoba ilivyoanza kutumika Tanzania mpaka kuzama. Mhadhara huu umepewa jina la Mafunzo kutoka katika kujifungua kwa uchungu wa kushinikiza, maisha ya mateso, na kifo cha maumivu cha MV. Bukoba,. Profesa Mukandala ameeleza kuwa kuanzia kwenye manunuzi ya meli hiyo tayari matatizo yalianza kuonekana hasa baada ya Tanzania kutofuata hatua muhimu za manunuzi ya umma. Tanzania ilikua inanunua meli hiyo kwa mkopo kutoka serikali ya Ubelgiji. Masharti ya Mkopo huo yaliitaka Tanzania kutumia makampuni ya Ubelgiji, hata hivyo Tanzania haikushirikishwa, na mkataba wa ukandarasi ulifanyika katika shinikizo kubwa. Toka wakati meli hiyo inaanza kazi matatizo ya msingi ya kiufundi yalianza kuonekana. Mkandala ameonesha masomo kadhaa kutokana na mhadhara huu kwanza umuhimu wa ujirani na nchi zingine, pili umuhimu wa kufanya mabadiliko ya Katiba ili kuboresha taasisi na tatu umuhimu wa nchi kuwa makini na mikataba mibovu. Prof. Rwekaza Sympho Mukandala PhD (UC Berkeley), MA (Dar), BA (Dar), Profesa wa Sayansi ya Siasa na Utawala, Profesa wa Kiogoda cha Mwalimu J. K. Nyerer katika Taaluma za Umajumui wa Afrika, na Makamu Mkuu wa Chuo Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam. Unaweza kutufuatilia kupitia; TWITTER: / thechanzo INSTAGRAM: / thechanzo FACEBOOK: / thechanzo TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_... Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105 The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

MHADHARA WA UPROFESA: DOLA, SOKO NA KUSHINDWA KWA TAASISI

AZAMIA Meli ya MJERUMANI, ni MATESO ndani ya Kontena la Mizigo, atupwa JELA, mmoja akimbia POLISI

#TBC1: NYOTA WA WIKI NA PROFESA MUKANDALA (S01EP01)

Profesa Safari aelezea sababu ya kujitenga na siasa, asema "Siwezi kuwa chawa, najitoa kafala"

Yaliyomo kwenye kitabu cha Rais Mst. Benjamin Mkapa: Simulizi ya Prof. Rwekaza Mukandala

NONDO ZA PROF. KABUDI, AFOKA UBANGANAJI WA KISWAHILI "TUSIPUUZE" MATITI YAZUA BALAA BUNGENI

Aliyenusurika Kifo MV Bukoba, Asimulia Mazito kuhusu Ajali Hiyo | Clouds 360 wazungumza naye.Tazama

KIJANA ALIYENUSURIKA AJALI YA MV BUKOBA ASIMULIA MAISHA YAKE

Profesa Kabudi awashukia wanaobananga Kiswahili, aitaka Serikali kuchukua hatua

Dira Mtaani: Vijana Tarime Wanajionaje Ifikapo 2050? Waeleza Fursa na Changamoto Zinazowazunguka

ADN-ja zbulon pasardhësit e Skënderbeut në Dibër! Flet Gjergj Bojaxhi! | Dekalog nga Roland Qafoku

SAKATA LA MAREKANI KUIWEKEA VIKWAZO TANZANIA, ATHARI ZAKE NI ZIPI? | UCHAMBUZI

Magufulification of Africa by Prof. PLO Lomumba.

🔴LIVE : RIPOTI YA LEO SEHEMU YA 2 SIMULIZI YA SARA - MAY 21

🔴#TBCLIVE: MHADHARA WA UPROFESA

Maisha na Safari ya Kitaaluma ya Full Professors (Mapacha) ni Prof. Alex na Prof. Alexander Makulilo

NASORO FX: Mkali wa Forex Trading afunguka SIRI ya Mchezo ili ufanikiwe kama yeye

ERICK KABENDERA AFUNGUKA MAZITO KWA MARA YA KWANZA 'NILIIKOSEA SERIKALI NIKATEKWA/ WANGENIUA'

Mzee Mwinyi alitimuliwa kwenye nyumba na waziri mwenzake, alipokuwa Rais alimteua kuwa Waziri

