Bomoa Bomoa Mpya Dar Yaacha Makumi Bila Makazi
Hali ya sintofahamu imetawala kwa wakazi wa Mpiji Bunju A, jijini Dar es Salaam kufuatia hatua ya Serikali kuvunja nyumba kadhaa za wakazi wa eneo hilo, hali iliyozua taharuki na vilio kwa wakazi wengi wa eneo hilo ambao wamebaki bila makazi. Wakazi hao wanadai kuwepo katika eneo hilo kwa zaidi ya miaka kumi mpaka hivi sasa na hadi kutokea kwa kadhia hiyo hawakua na taarifa yoyote na hawakujiandaa kuhama hapo kabla. The Chanzo ilifika katika eneo la tukio na kuzungumza na baadhi ya wahanga wa bomoa bomoa hiyo na haya ndiyo yalikuwa maoni yao. #TheChanzo

▶︎
RC MAKALLA AAMURU KUKAMATWA VINARA WA UUZAJI ARDHI MTAA WA MBONDOLE MSONGOLA

▶︎
LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM

▶︎
BOMOABOMOA: AMUACHA MKE NA KUOA MTU NA DADA YAKE, ADAIWA KUUZA NYUMBA KIMYA, FAMILIA YAMLILIA RAIS

▶︎
Polisi watumia mabomu ya machozi kusimamia "bomoa bomoa" Dodoma

▶︎
LIVE: KUNANI KIBAHA!, HALI TETE NYUMBA ZAIDI YA 200 ZABOMOLEWA | WAZIRI WA ARDHI ANATOA MAJIBU | PB

▶︎
NYUMBA ZAIDI YA 100 ZABOMOLEWA MAENEO YA KITAMBA, KIBAHA / WANANCHI WALIA NA RAIS SAMIA

▶︎
Gwaride la Kijeshi Mapokezi Rasmi ya Rais wa Singapore Tharman Shanmugaratnam Ikulu Dar es Salaam

▶︎
Bomoa Bomoa Yatua Bonde la Msimbazi Dar es Salaam

▶︎
GUMZO CHAKULA CHA MAMA NTILIE KARIAKOO KUGOMBANIWA,TETESI ZA NDUMBA, MAJI YA MAITI, MAFANIKIO AELEZA

▶︎
MŨTHENYA WA MBANJETI NA MAINA KAMANDA

▶︎
Wakazi wa Bunju wamevamia kituo cha polisi na kukichoma moto baada ya kugongwa mwanafunzi.

▶︎
Tazama Mbunge wa Kihaba Mjini Silyvestry Koka alichosema kwa Makamba bila uoga

▶︎
RC MAKALLA MGUU KWA MGUU UKAGUZI ENEO LENYE MGOGORO|MWENYEKITI KUKAMATWA

▶︎
LIVE: Tazama Jinsi Maghorofa Yalivyobomolewa na Serikali Kariakoo, Dar

▶︎
TAHARUKI: WANANCHI WACHARUKA KUAMBIWA NA DC WALIPE MIL1 WAPATE ARDHI, WAANDIKA BARUA KWA RAIS SAMIA

▶︎
Bomoa Bomoa Mkoani Morogoro

▶︎
kimenuka dar, wananchi wapinga bomoa bomoa new

▶︎
Bomoabomoa Kibamba, wakazi walia na Tanroad

▶︎
SAKATA LA MASHABIKI YANGA KUFUNGIWA MIEZI 3, WATOA USHAHIDI MZITO, MAMLAKA ZAJIBU

▶︎
