WAZIRI ULEGA: BARABARA YA MBANDE - MSONGOLA (3.8 KM), UKAMILIKE KWA WAKATI NA UBORA
Waziri wa Ujenzi, Mheshimiwa Abdallah Ulega, jana Jumamosi tarehe 28 Desemba 2024, ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya Mbande hadi Msongola yenye urefu wa kilometa 3.8 inayojengwa kwa kiwango cha lami. Akiwa kwenye ziara hiyo, Waziri Ulega amesisitiza uharaka, kasi na ubora wa utekelezaji mradi huo huku akitoa maelekezo mahususi kwa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) na mkandarasi wa mradi, kampuni ya Jonec (T) Limited. Akizungumza na wananchi wa Msongola, Waziri Ulega amesisitiza kuwa mkandarasi ahakikishe kazi inafanyika usiku na mchana, kuongeza wafanyakazi na vifaa, na kukamilisha ujenzi kabla ya mvua za masika.

▶︎
ULEGA AMBANA MKANDARASI HYDOM, ATOA SIKU 14 VIFAA VYOTE VIWE ‘SITE’

▶︎
Minembwe yabananiye|| Ndayishimiye na Tshisekedi barapfunda he umutwe?

▶︎
KAZI IPO LEO!!! ULEGA ATOA MAELEKEZO HAYA KWA MAMENEJA WOTE WA TANROADS NCHINI

▶︎
WAZIRI ULEGA AAGIZA TANROADS KUWEKA TAA ZA KISASA BARABARA YA NJIA SITA DODOMA HADI CHAMWINO IKULU

▶︎
ONDOENI SHAKA HII BARABARA INAWEKWA ''MKEKA'' - ULEGA

▶︎
ULEGA AAGIZA UJENZI BARABARA ZA AFCON KUFANYIKA USIKU NA MCHANA

▶︎
🔴#LIVE: VIGOGO WA NCHI WAKUTANA KUJADILI MWELEKEO NA HATMA YA TAIFA LA TANZANIA

▶︎
WAZIRI ULEGA ATOA MAAGIZO MAKALI KWA MKANDARASI WA BARABARA YA MSONGOLA

▶︎
SERIKALI YASAINI MKATABA WA UJENZI WA BARABARA YA NJIA SITA DODOMA–CHAMWINO IKULU

▶︎
MBUNGE ALIYESEMA BODABODA NA MACHINGA WALIPE 1000 KWA SIKU AKUTANA NA KIGINGI KIZITO MBEYA

▶︎
WAZIRI ULEGA AWASIMAMISHA KAZI WATUMISHI wa MIZANI KUPISHA UCHUNGUZI BAADA ya VIDEO ya MAMA HUYU...

▶︎
MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAZAWA WANUFAIKE NA AJIRA ZILIZOPO.

▶︎
KERO YA BARABARA YA TABATA BIMA - KIMANGA YAPATA MWAROBAINI

▶︎
Dkt. Lwaitama akosoa agizo la Waziri Katambi, Akemea mpasuko na Kutoa Ushauri kwa Taifa.

▶︎
🔴#LIVE: UWASILISHAJI WA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

▶︎
Road Trip to Kilimanjaro 🇹🇿 from Dar Es Salaam (547Km) | Tanzania is more beautiful than you think

▶︎
SERIKALI KUANZA UJENZI WA DARAJA LA MZINGA NA UPANUZI WA BARABARA YA MBAGALA KUPUNGUZA MSONGAMANO

▶︎
MABORESHO YA KIWANJA CHA NDEGE KIGOMA YAFIKIA ASILIMIA 60

▶︎
🟠 ZIARA YA MBUNGE MARY_"VETA,UWANJA WA NDEGE NA UJENZI WA LAMI SERENGETI" AHIMIZA KASI NA UBORA.

▶︎
