WAZIRI ULEGA: BARABARA YA MBANDE - MSONGOLA (3.8 KM), UKAMILIKE KWA WAKATI NA UBORA

Waziri wa Ujenzi, Mheshimiwa Abdallah Ulega, jana Jumamosi tarehe 28 Desemba 2024, ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya Mbande hadi Msongola yenye urefu wa kilometa 3.8 inayojengwa kwa kiwango cha lami. Akiwa kwenye ziara hiyo, Waziri Ulega amesisitiza uharaka, kasi na ubora wa utekelezaji mradi huo huku akitoa maelekezo mahususi kwa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) na mkandarasi wa mradi, kampuni ya Jonec (T) Limited. Akizungumza na wananchi wa Msongola, Waziri Ulega amesisitiza kuwa mkandarasi ahakikishe kazi inafanyika usiku na mchana, kuongeza wafanyakazi na vifaa, na kukamilisha ujenzi kabla ya mvua za masika.

ULEGA AMBANA MKANDARASI HYDOM, ATOA SIKU 14 VIFAA VYOTE VIWE ‘SITE’
▶︎

ULEGA AMBANA MKANDARASI HYDOM, ATOA SIKU 14 VIFAA VYOTE VIWE ‘SITE’

Minembwe yabananiye|| Ndayishimiye na Tshisekedi barapfunda he umutwe?
▶︎

Minembwe yabananiye|| Ndayishimiye na Tshisekedi barapfunda he umutwe?

KAZI IPO LEO!!! ULEGA ATOA MAELEKEZO HAYA KWA MAMENEJA WOTE WA TANROADS NCHINI
▶︎

KAZI IPO LEO!!! ULEGA ATOA MAELEKEZO HAYA KWA MAMENEJA WOTE WA TANROADS NCHINI

WAZIRI ULEGA AAGIZA TANROADS KUWEKA TAA ZA KISASA BARABARA YA NJIA SITA DODOMA HADI CHAMWINO IKULU
▶︎

WAZIRI ULEGA AAGIZA TANROADS KUWEKA TAA ZA KISASA BARABARA YA NJIA SITA DODOMA HADI CHAMWINO IKULU

ONDOENI SHAKA HII BARABARA INAWEKWA ''MKEKA'' - ULEGA
▶︎

ONDOENI SHAKA HII BARABARA INAWEKWA ''MKEKA'' - ULEGA

ULEGA AAGIZA UJENZI BARABARA ZA AFCON KUFANYIKA USIKU NA MCHANA
▶︎

ULEGA AAGIZA UJENZI BARABARA ZA AFCON KUFANYIKA USIKU NA MCHANA

🔴#LIVE: VIGOGO WA NCHI WAKUTANA KUJADILI MWELEKEO NA HATMA YA TAIFA LA TANZANIA
▶︎

🔴#LIVE: VIGOGO WA NCHI WAKUTANA KUJADILI MWELEKEO NA HATMA YA TAIFA LA TANZANIA

WAZIRI ULEGA ATOA MAAGIZO MAKALI KWA MKANDARASI WA BARABARA YA MSONGOLA
▶︎

WAZIRI ULEGA ATOA MAAGIZO MAKALI KWA MKANDARASI WA BARABARA YA MSONGOLA

SERIKALI YASAINI MKATABA WA UJENZI WA BARABARA YA NJIA SITA DODOMA–CHAMWINO IKULU
▶︎

SERIKALI YASAINI MKATABA WA UJENZI WA BARABARA YA NJIA SITA DODOMA–CHAMWINO IKULU

MBUNGE ALIYESEMA BODABODA NA MACHINGA WALIPE 1000 KWA SIKU AKUTANA NA KIGINGI KIZITO MBEYA
▶︎

MBUNGE ALIYESEMA BODABODA NA MACHINGA WALIPE 1000 KWA SIKU AKUTANA NA KIGINGI KIZITO MBEYA

WAZIRI ULEGA AWASIMAMISHA KAZI WATUMISHI wa MIZANI KUPISHA UCHUNGUZI BAADA ya VIDEO ya MAMA HUYU...
▶︎

WAZIRI ULEGA AWASIMAMISHA KAZI WATUMISHI wa MIZANI KUPISHA UCHUNGUZI BAADA ya VIDEO ya MAMA HUYU...

MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAZAWA WANUFAIKE NA AJIRA ZILIZOPO.
▶︎

MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAZAWA WANUFAIKE NA AJIRA ZILIZOPO.

KERO YA BARABARA YA TABATA BIMA - KIMANGA YAPATA MWAROBAINI
▶︎

KERO YA BARABARA YA TABATA BIMA - KIMANGA YAPATA MWAROBAINI

Dkt. Lwaitama akosoa agizo la Waziri Katambi, Akemea mpasuko na Kutoa Ushauri kwa Taifa.
▶︎

Dkt. Lwaitama akosoa agizo la Waziri Katambi, Akemea mpasuko na Kutoa Ushauri kwa Taifa.

🔴#LIVE: UWASILISHAJI WA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027
▶︎

🔴#LIVE: UWASILISHAJI WA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

Road Trip to Kilimanjaro 🇹🇿 from Dar Es Salaam (547Km) | Tanzania is more beautiful than you think
▶︎

Road Trip to Kilimanjaro 🇹🇿 from Dar Es Salaam (547Km) | Tanzania is more beautiful than you think

SERIKALI KUANZA UJENZI WA DARAJA LA MZINGA NA UPANUZI WA BARABARA YA MBAGALA KUPUNGUZA MSONGAMANO
▶︎

SERIKALI KUANZA UJENZI WA DARAJA LA MZINGA NA UPANUZI WA BARABARA YA MBAGALA KUPUNGUZA MSONGAMANO

MABORESHO YA KIWANJA CHA NDEGE KIGOMA YAFIKIA ASILIMIA 60
▶︎

MABORESHO YA KIWANJA CHA NDEGE KIGOMA YAFIKIA ASILIMIA 60

🟠 ZIARA YA MBUNGE MARY_"VETA,UWANJA WA NDEGE NA UJENZI WA LAMI SERENGETI" AHIMIZA KASI NA UBORA.
▶︎

🟠 ZIARA YA MBUNGE MARY_"VETA,UWANJA WA NDEGE NA UJENZI WA LAMI SERENGETI" AHIMIZA KASI NA UBORA.

How Toilet Bowls Are Made | Amazing Toilet Bowl Manufacturing Process in Pakistan
▶︎

How Toilet Bowls Are Made | Amazing Toilet Bowl Manufacturing Process in Pakistan