NYERERE DAY 2022 “TULISHUHUDIA KUAGANA NA NDUGU YETU MWALIMU NYERERE (Hayati KOMBA)”

Kila mwaka tarehe 14 ya mwezi wa 10 hufanyika kumbukizi ya Baba waTaifa letu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Mungu aendelee kukuweka mahala pema peponi Baba wa taifa letu la Tanzania Amina. a film by Rick Visuals. wimbo ni wahayati Komba.