Ibada ya Jumapili 21/06/2026

Karibu kufuatilia Ibada ya Moja kwa Moja kutoka Kanisa la Keys of Christ, lililopo Kigamboni – Ungindoni, Kenan Street, chini ya uongozi wa Mtumishi wa Mungu Senior Pastor Peter Chagula & Pastor Abby Chagula. Ibada hii inapatikana moja kwa moja kupitia: 📻 Fungua Radio Online (https://onlineradiobox.com/tz/fungua/) 📱 Facebook Live: Pst Peter Chagula Katika ibada hii, tarajia: ✅ Kukutana na Yesu ✅ Kufunguliwa ✅ Kupokea uponyaji Kupitia mafundisho ya Neno la Mungu na maombi ya kiroho, yote katika jina la Yesu Kristo. Kwa Maombi, Ushauri au Kutuma Sadaka: 📞 Vodacom: 0754 752 550 Jina: Chagula Mwita Mungu akubariki sana