WATOTO ZAIDI YA 300 NZIHI WAHITAJI MABORESHO UPATIKANAJI HUDYMA YA MALEZI MCHANA
Mradi wa Kituo cha Malezi ni mpango wa maendeleo ya mtoto (ECD) unaolenga kuboresha upatikanaji wa huduma salama, jumuishi, na zinazoendeshwa na jamii kwa watoto wadogo nchini Tanzania. Mradi huu unalenga katika kusaidia jamii kuanzisha na kusimamia Vituo vya Kulelea Watoto kwa Msingi wa Jamii (CBDCs) ambavyo vinakuza ukuaji kamili, kujifunza na ulinzi kwa watoto katika miaka yao ya mapema. Timu ya utekelezaji PJT-MMMAM Mkoa wa Iringa imefika hapa Iringa Vijijini Kijiji cha Nzihi kwa hatua za kubaini mahitaji ya uwepo wa vituo vya malezi ya watoto mchana. IDYDC inatekeleza mradi huu kama sehemu ya juhudi za kitaifa zinazoratibiwa na Mtandao wa Maendeleo ya Awali Tanzania (TECDEN), kwa ufadhili wa Echidna Giving. Mradi huu unachangia moja kwa moja katika vipaumbele vya kitaifa kuhusu Maendeleo ya Awali ya Mtoto na ustawi wa mtoto. Project Goal Kuboresha upatikanaji wa huduma bora, jumuishi na za maendeleo zinazoongozwa na jamii kwa watoto wenye umri wa miaka 2-5, na kuwezesha familia na jamii kusaidia ukuaji wa watoto. Kwa mujibu wa Serikali ya Kijiji , Kijiji cha Nzihi kina vitongoji 8 na kati ya hivyo 4 viko pembezoni na Kijiji kinakadiliwa kuwa na watoto wenye umri chini ya miaka 5 wapatao 300 ambao wanahitaji kupatiwa huduma katika vituo vya malezi.

Ndoto hadi Mafanikio : Jinsi Programu za SOS Tanzania Zinavyobadilisha Maisha ya Watoto na Vijana

MKE NA MAHARI / NANI ALIPE MAHARI MZAZI AU KIJANA?

IFAHAMU TOSAMAGANGA MPYA_ 2024....tosamaganga documentary_Official_ video

MWANAFUNZI ASIYEONA AIBEBA NYANDA ZA JUU KUSINI TUZO ZA BMT 2026

Does tradition help or hinder women in Morocco? - World Questions podcast, BBC World Service

SOS PARTINERSHIP IMPACT VISIT IRINGA REGION.

MPs debate the Finance Bill 2026 in Parliament

I took everything and left my marriage after what he did to me. The Journey Ep 10

LIVE: Kudzacha II 19th June 2026 II www.kbc.co.ke

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

SOS NA TGNP WAVUTA WANAUME KUKINGA UKATILI

UTAFITI. SERA NA UTEKELEZAJI ELIMU JUMUISHIWATOTO WENYE USONJI/MAHITAJI MAALUM

KATA YA RUAHA YACHUKUA HATUA KUANZA MABORESHO YA VITUO VYA MALEZI YA WATOTO MCHANA.

LIVE | Ministry of Transport gives update on JKIA expansion deal

COMPASSION KIHESA WAPEWA UJUZI NA ROUNDING HANDS

Rais Magufuli azindua Kiwanda cha SILVERLANDS kilichopo mkoani Iringa

🔴#LIVE : IBADA YA SABATO - HITIMISHO SEMINA ZA UONGOZI STU || 31.01.2026

TIBA ya MAZOEZI ya VIUNGO kwa WATOTO YATOLEWA BURE IRINGA, “WAZAZI MSIWAFICHE WATOTO”

LIVE: National Productivity and Performance Conference 2026 II 19th June 2026 II www.kbc.co.ke

