IJUE HISTORIA YA MAPIGANO ULYANKULU CHOIR - PART 2

Kwaya ya mapigano ilianzishwa mwaka 1973 ni moja kati ya kwaya kongwe sana nchini kwetu tanzania kwayav hii imepitia changamoto nyingi zikiwemo za kuvumishiwa kuwa hawapo tena Duniani leo msikie msimamizi wa kwaya hii ya Mapigano Ulyankulu akifafanua vizuri toka mwanzo mpaka mwisho na malengo ya kwaya kwa habari za injili wasiliana nasi na pia usiache kushare like na ku subscribe kwenye channel hii uli uwe wa kwanza kupata habari za uhakika