ALBERT CHALAMILA MKUU MPYA wa MKOA wa DAR AMEPANDA, AKASHUKA, AKAPANDA na SASA AMEPANDA TENA...

ALBERT CHALAMILA MKUU MPYA wa MKOA wa DAR AMEPANDA, AKASHUKA, AKAPANDA na SASA AMEPANDA TENA... Mei 15, 2023 ni siku nyingine njema ambayo inamshuhudia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera akipanda tena ambapo Rais Samia Suluhu Hassan anafanya mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa na kumteua kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akichukua nafasi ya Amos Makalla ambaye yeye anahamishiwa mkoani Mwanza. Rais Samia anaonekana kumuamini kwa mara nyingine hasa katika kipindi ambacho kuna sekeseke la mgomo wa wafanyabishara wa soko la kimataifa la Kariakoo la Dar es Salaam. Mbali na kuongoza Mkoa wa Dar es Salaam na Kagera, Chalamila aliwahi kuwa Mkuu wa Mbeya kisha akahamishiwa Mkoa wa Mwanza ambapo alishuka baada ya kutenguliwa na Rais Samia kabla ya kumrejesha tena kama Mkuu wa Mkoa wa Kagera. ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST:    • GLOBAL COMEDY/MOVIES   ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: [email protected] OR [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI:    • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania!   ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline

Mahojiano maalum na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, CHALAMILA. Classmates wanapokutana kwa mahojiano.
▶︎

Mahojiano maalum na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, CHALAMILA. Classmates wanapokutana kwa mahojiano.

RC Chalamila awaacha hoi Maaskofu na Mapadre / ''Visasi muachie Mungu mwenyewe'' Tuikwamue Kagera
▶︎

RC Chalamila awaacha hoi Maaskofu na Mapadre / ''Visasi muachie Mungu mwenyewe'' Tuikwamue Kagera

"Kuongoza kwa stail ya Mwanri hapana" Rais SAMIA amkumbushia Aggrey Mwanri akiwafunza Wakuu wa Mikoa
▶︎

"Kuongoza kwa stail ya Mwanri hapana" Rais SAMIA amkumbushia Aggrey Mwanri akiwafunza Wakuu wa Mikoa

RC CHALAMILA HAJAWAHI KUKASIRIKA HIVI - "ZOMEENI MUONE, MKOME KAMA MLIVYOKOMA KUNYONYA"...
▶︎

RC CHALAMILA HAJAWAHI KUKASIRIKA HIVI - "ZOMEENI MUONE, MKOME KAMA MLIVYOKOMA KUNYONYA"...

STEVE NYERERE - "'TUMZIKE MZEE ONYANGO SIYO KUPOSTI INSTA - KUZIKA ni IBADA - MWENYE HELA UTAKUFA"..
▶︎

STEVE NYERERE - "'TUMZIKE MZEE ONYANGO SIYO KUPOSTI INSTA - KUZIKA ni IBADA - MWENYE HELA UTAKUFA"..

RC CHALAMILA awavaa wanaomtisha mkoa wa Dar es salaam "unaonekana mropokaji ukisema ukweli"
▶︎

RC CHALAMILA awavaa wanaomtisha mkoa wa Dar es salaam "unaonekana mropokaji ukisema ukweli"

RC CHALAMILA AMBANANISHA MKANDARASI, ASHINDWA KUJIELEZEA - ''MASWALI MAGUMU, TUKUTANE OFISINI''....
▶︎

RC CHALAMILA AMBANANISHA MKANDARASI, ASHINDWA KUJIELEZEA - ''MASWALI MAGUMU, TUKUTANE OFISINI''....

RC CHALAMILA AFANYA MAAMUZI MAGUMU, AZUIA MNADA WA NYUMBA YA MJANE
▶︎

RC CHALAMILA AFANYA MAAMUZI MAGUMU, AZUIA MNADA WA NYUMBA YA MJANE

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU |  ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.
▶︎

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU | ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.

BREAKING! SAMIA KUMNG'OA NCHIMBI PUNDE | HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAKAMU KUWASILISHWA BUNGENI
▶︎

BREAKING! SAMIA KUMNG'OA NCHIMBI PUNDE | HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAKAMU KUWASILISHWA BUNGENI

"WANA-KIGAMBONI WAMEKUJA NA MABANGO ILI WANISHTAKI KWAKO" - RC CHALAMILA AMWAMBIA RAIS SAMIA
▶︎

"WANA-KIGAMBONI WAMEKUJA NA MABANGO ILI WANISHTAKI KWAKO" - RC CHALAMILA AMWAMBIA RAIS SAMIA

RC Chalamila awacharukia wamachinga, ataka waache mihemko, "Sijaja hapa kuchekeana"
▶︎

RC Chalamila awacharukia wamachinga, ataka waache mihemko, "Sijaja hapa kuchekeana"

KAULI YA RC CHALAMILA KUHUSU UHABA WA SUKARI
▶︎

KAULI YA RC CHALAMILA KUHUSU UHABA WA SUKARI

RC CHALAMILA AWAZODOA WATU MBELE YA RAIS SAMIA, "LAWAMA NI TAMKO LA LAANA/ HUNA HELA"
▶︎

RC CHALAMILA AWAZODOA WATU MBELE YA RAIS SAMIA, "LAWAMA NI TAMKO LA LAANA/ HUNA HELA"

MKUU WA MKOA RC CHALAMILA AWAVUNJA MBAVU LADHA YA BIA INATEGEMEA NA MHUDUMU
▶︎

MKUU WA MKOA RC CHALAMILA AWAVUNJA MBAVU LADHA YA BIA INATEGEMEA NA MHUDUMU

CHALAMILA AFUNGUKA BAADA ya KUKOSA TUZO - AMLETEA UTANI RAIS SAMIA -''NILIVAA SURUALI KAMA ya OMMY''
▶︎

CHALAMILA AFUNGUKA BAADA ya KUKOSA TUZO - AMLETEA UTANI RAIS SAMIA -''NILIVAA SURUALI KAMA ya OMMY''

In the Name of the President: Kitabu cha Mateso ya Magufuli | GUMZO MAALUM na Erick  Kabendera
▶︎

In the Name of the President: Kitabu cha Mateso ya Magufuli | GUMZO MAALUM na Erick Kabendera

Kauli za Albert Chalamila zilizowaacha watu hoi | Alipokuwa Mkuu wa Mkoa
▶︎

Kauli za Albert Chalamila zilizowaacha watu hoi | Alipokuwa Mkuu wa Mkoa

Chalamila atoa ya moyoni sakata la kufungia wasanii, amtaja Ney wa mitego ningekuwa waziri ningefeli
▶︎

Chalamila atoa ya moyoni sakata la kufungia wasanii, amtaja Ney wa mitego ningekuwa waziri ningefeli

Mnyika Afunguka Kesi ya Lissu Juni 11: Aambiwa Atoe Majina ya Watu 11 Pekee, Akataa-Sio Utaratibu
▶︎

Mnyika Afunguka Kesi ya Lissu Juni 11: Aambiwa Atoe Majina ya Watu 11 Pekee, Akataa-Sio Utaratibu