Makongoro Nyerere alivyomvunja mbavu Rais Samia akipewa Tuzo ya kiongozi mchekeshaji
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Makongoro Nyerere ameshinda tuzo ya kiongozi mchekeshaji Tanzania. Makongoro ambaye ni mtoto wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere ametwa tuzo hiyo usiku wa leo Jumamosi, Februari 22, 2024 katika kilele cha tuzo za sanaa Tanzania. Mgeni rasmi kwenye utoaji wa tuzo hizo jijini Dar es Salaam ni Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan. Katika kipengele hicho, Makongoro alikuwa anashindana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, Mchungaji mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Richard Hananja na Naibu Waziri na Mkuu wa Mkoa Mstaafu, Aggrey Mwanri. Mara baada ya kukabidhiwa tuzo hiyo, Makongoro amesema:"Hatimaye, hatimayeee, hatimayeeeee leo nimepata tuzo yangu mwenyewe." Amesema amekuwa anapokea tuzo ndani na nje nchi za Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere na leo amepokea ya kwake mwenyewe. Amewashukuru waandaaji kwa kutambua uwezo wake wa kuchekesha watu.

MAKONGORO NYERERE

SIKIA..!! Vituko vya Makongoro Nyerere mbele ya RAIS SAMIA | "Nivue barakoa..?"

BILA UOGA RC MAKONGORO NYERERE AMVUNJA MBAVU WAZIRI MKUU...

MAKONGORO NYERERE AMCHEKESHA RAIS SAMIA -UTANI WAKE kwa WASIRA -ASHINDA TUZO ya KIONGOZI MCHEKESHAJI

Julius Nyerere interview | Tanzania | This Week | 1977

MAKONGORO NYERERE AVUNJA MBAVU MBELE YA RAIS AKIWATAMBULISHA MAWAZIRI ASEMA 'AMEOLEWA'

MAKONGORO NYERERE ALIVYOLETA COMEDY MKUTANONI - ''ANA NDEVU KAMA BEBERU - NDEVU HOYEEE!''....

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU | ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.

Style aliyoitumia Makongoro Nyerere kuomba kura za ubunge

'Mzee Wasira Yupo', Hotuba Maarufu ya Makongoro Nyerere Akielezea Uzoefu wa Mzee Stephen Wasira

GOOSEBUMPS! THE WORLD STOPPED TO WATCH MOROCCO BEAT BRAZIL FOR THE FIRST TIME IN HISTORY

HISTORIA Ya MWALIMU NYERERE Hadi Kutokea Kwa Vita Ya Kagera | MAKONGORO Asimulia

Utani wa Makongoro Nyerere kwa Masista na Abate Mbele ya Maaskofu, Watu waangua Vicheko Kanisani

AMVUNJA MBAVU! MAKONGORO NYERERE AMSIMAMISHA MKE wa WAZIRI MKUU MWIGULU -"TUNAKUTAMANI MPO WACHACHE"

MZEE SHAYO AMCHEKESHA BALAAH RAIS SAMIA, AMTANIA “AIMBA TAARABU KWENYE GOSPEL”

BREAKING! SAMIA KUMNG'OA NCHIMBI PUNDE | HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAKAMU KUWASILISHWA BUNGENI

TAZAMA OSCAR NYERERE ALIVYOMUACHA HOI RAIS SAMIA, AITWA KUTUNZWA

MAKONGORO NYERERE AMKUMBUKA MAGUFULI - "UNAWEZA KUKUTA NDIYE MALAIKA wa MAJIPU HUKO JUU" - UTACHEKA!

UTACHEKA VITUKO VYA RC MAKONGORO, AWAVUNJA MBAVU WADAU NANENANE

