NINAOGOPA WATU WASIJUE NINA HIV/VVU NIFANYE NINI?@PEDALS & ROSES STORIES

Ninaogopa watu wasijue nina HIV/VVU nifanyeje. Moyo unapiga sana nikifikiria watu watajua status yangu/yako, jasho linakutoka. Hiyo ni wasiwasi. Elewa kwamba stigma ni sumu kubwa sana kuliko virusi. Mbinu 3 za haraka kuondoa wasiwasi: 1. Pumua, ingiza hewa sekunde 4, shika 4, toa 4, fanya mara 3 ubongo utatulia. 2. Ukweli dhidi ya uongo. Andika hofu yako kisha andika ukweli na ishi maisha kamili kama wengine. 3. Chagua watu wako kwa sababu siyo kila mtu anastahili kujua status yako. #wasiwasi #Stigima #vvu #HIV