LORI LA SHABA LAPATA AJALI, LATEKETEA KWA MOTO MBEYA
#HABARI: Lori lenye namba za usajili AIE7972 ZM, na tela lenye namba za uasajili AIE7987 ZM, lililokuwa limebeba shehena ya shaba likitokea nchini Zambia kuelekea Dar es Salaam limepata ajali katika Kijiji cha Shamwengo, Kata ya Inyala, jijini Mbeya na kugonga magari manne na kisha kuteketea moto. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mbeya Mrakibu Mwandamizi wa Zimamoto( SSF) Malumbo Ngata, amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kueleza kuwa kikosi chake kiliwasili mapema eneo la tukio kudhibiti moto ili usisambae na kusababisha madhara makubwa zaidi. Kwa upande wao wananchi wa Kijiji hicho wameiomba serikali kuboresha miundombinu ya barabara katika eneo la Shamwengo, kwani ajali nyingi zimekuwa zikitokea katika eneo hilo. Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ; Subscribe to our Youtube Channel : http://bit.ly/itvtanzania Facebook : https://bit.ly/2KeQNl3 Twitter : https://bit.ly/2XG7aii Instagram : https://bit.ly/34KItmg

🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JUNI 28, 2026 -TANESCO WAELEZA SABABU ZA GRIDI YA UMEME KUKATIKA

TOUGH QUESTIONS FROM REPORTERS TO GERSON MSIGWA

AJALI NYINGINE ya LORI la MAFUTA MORO, Polisi wataja CHANZO - "DEREVA ALIJITAHIDI IKASHINDIKANA"

#BREAKING: MALORI MAWILI YAPATA AJALI MBAYA MOROGORO, CHANZO 'NI KUOVATEKI'

Where Is She?-Nakuru family's agony deepens as missing daughter Mary Njeri vanishes without a trace

AJALI MBAYA TENA MBEYA! MAGARI ya MIZIGO YAGONGANA - MOTO MKUBWA WALIPUKA - LORI LATEKETEA...

HABARI YA KUSIKITISHA MAGARI YATEKETEA KWA MOTO IWAMBI MBEYA

BREAKING!! AJALI YATEKETEZA LORI LA SHABA KWA MOTO MKOANI MBEYA

Historia ya (KDF) Kenya Defence Forces

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI, JUNI 28, 2026:

MAFUNZO YA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI YAFUNGWA TANGA: UJUZI NA MAARIFA KUONGEZEKA.

Ona majigambo ya Brother K, akifika Bar kakutana na Mpoki sasa

VN24 - Truck slides into the woods - New wrecker first time in use...

ASKARI NANE JESHI LA ZIMAMOTO WAPANDISHWA VYEO

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera

Brutal Road Accident! Truck Completely Destroyed Restoration by Pakistani Mechanics

National Gendarmerie: High-speed chase in an Alpine

How He Cuts This 478kg GIANT Bluefin Tuna Will Blow Your Mind #MonsterTuna

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

