UTACHEKA! VITUKO VYA LIPUMBA 'AWACHANA' WANAOONGEA KISWAHILI ALAFU WANACHOMEKEA KIINGEREZA...
Wakati Unesco ikitangaza kila ifikapo Julai 7 ya kila mwaka ni Siku ya Kiswahili Duniani Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba ametaka Watanzania Kutobeza matumizi ya Lugha ya Kiswahili na badala yake Watumie fursa hiyo kuzidi kuitangaza Kimataifa. Profesa Lipumba akizungumza leo Jijini Dar es Salaam ametumia nafasi hiyo kutoa Darasa la namna ambavyo Kundi la Vijana linaweza kushiriki Vizuri katika kukuza lugha ya Kiswahili na kuzipa Kisogo lugha za Kigeni. UTACHEKA! VITUKO VYA LIPUMBA 'AWACHANA' WANAOONGEA KISWAHILI ALAFU WANACHOMEKEA KIINGEREZA... WATCH WASAFI TV๐บ AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113 LISTEN WASAFI FM ๐ป 88.9 DAR/ZNZ/PWANI ๐ป | 104.1 DODOMA ๐ป | 94.5 ARUSHA ๐ป | 97.3 MBEYA ๐ป | 94.9 MWANZA ๐ป | SHINYANGA 106.3 ๐ป | KIGOMA 101.7 ๐ป Follow Us On: INSTAGRAM: ย ย /ย wasafitvย ย || ย ย /ย wasafifmย ย TWITTER: ย ย /ย wasafitvย ย || ย ย /ย wasafifmย ย FACEBOOK: ย ย /ย wasafitvย ย ๐ช๐๐๐๐๐๐๐๐ ยฉ2021 ๐พ๐๐๐๐๐ ๐ด๐๐ ๐๐. ๐จ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ . #wasafi #wasafitv #wasafifm

Nyundo za Prof.Lipumba ndania ya #Dakika45

LIPUMBA asimulia kwa uchungu alivyopata KURA SIFURI za Uchaguzi Wananchi wachinja MBUZI Amtaja SAMIA

BILA WOGA, LIPUMBA AMVAA ZITTO NA MAALIM SEIF - "WAMEUA"

LIPUMBA AVUNJA UKIMYA AWARARUA WAROPOKAJI HADHARANI '' TUSIPIGE KELELE TUJENGE HOJA''...

PROF. LIPUMBA AMWAMBIA RAIS SAMIA - "2025 UTASHINDA URAIS"

MAGUFULI Amuita PROF. LIPUMBA ASALIMIE, ALICHOSEMA Kila MTU HOI Kwa KUCHEKA..

Prof Lipumba: Nafsi imenisuta, naachia ngazi

LIPUMBA AWAKA - LISSU ALINIFANYIA ZENGWE NISIGOMBEE URAIS, NIMELAZIMISHWA KUENDELEA NA UENYEKITI

Shule aliyosoma Profesa Lipumba na historia yake Tabora

Bila katiba na tume mpya, hatuingii tena uchaguzini - Lipumba

Lipumba aeleza umahiri wa Mzee Mkapa katika Lugha Kingereza

"NILIITWA AFISA USALAMA WA TAIFA KISA NIMEGOMBEA UENYEKITI CUF" - PROF. SAFARI | ONE ON ONE

LIPUMBA MBELE YA JPM "NAGOMBEA URAIS NA NITACHUKUA FOMU"

Maalim Seif ana ugomvi na Prof. Lipumba?

Matokeo ya uchaguzi Tanzania 2020: CUF 'Hatutashiriki tena Uchaguzi bila Tume huru'

Alichokisema Lipumba baada ya kualikwa na JPM siku ya sheria Kitaifa

PROFESA LIPUMBA AIBUKA KIDEDEA kwa MARA NYINGINE TENA UCHAGUZI MKUU wa CUF - MWENYEKITI MIAKA 30...

PROF. LIPUMBA ANENA MAZITO WAKATI WA KONGAMANO LA UCHAGUZI:

LIPUMBA - ''NILIPIGIKA Sana Ile Siku, HATUANDAMANI Hata Kidogo''

