FISI AUA MTOTO KATAVI
KATAVI: MTOTO wa kiume mwenye umri wa mwaka mmoja anayefahamika kwa jina la Kulwa Evodius amefariki dunia baada ya kudaiwa kushambuliwa na fisi katika kijiji cha Katsunga kilichopo Halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi. Kufuatia tukio hilo hofu imetanda kwa wakazi wa Katsunga hasa kwa usalama wa watoto wao wakidai kuwa wanyama hao kwa sasa wanaonekana kuwa tishio kwa binadamu. Baba mzazi wa mtoto huyo Evodius Fanuel ameeleza namna alivyopokea taarifa ya kifo cha mtoto wake ambaye ni pacha na kusema amepata mshtuko baada ya kupata taarifa hiyo Kwa upande wake Mganga Mfawidhi hospital ya Manispaa ya Mpanda dokta Limbu Mazoya amethibitisha kupokea mwili wa mtoto huyo ambaye alikuwa na majeraha kichwani yaliyosababishwa na mnyama. Hata hivyo wakazi wa eneo hilo wameiomba serikali kuchukua hatua za haraka kudhibiti wanyama hao ili kulinda maisha ya watu na mali zao. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: / spotileo-176. . HabariLeo: / habarileo DailyNews: / dailynewstz INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09

LIVE : ABDALAH KINGO, UGUMU WA UCHORAJI / HATI MILIKI, KUTHAMINIWA IMEKUA TATIZO? / NI MAUMIVU

|| ANGALIA KIUNDANI MAFUNZO YATOLEWAYO NA CHUO CHA UFUNDI VETA MKOANI MOROGORO || HATUA 10

DRC : MASISI -MUHETO : GOUV BAHATI YERETSE ABATURAGE CORONEL WAVUYE MU ISHYAMBA +250783099999

Dennis Lusava walked into a police post... he was later found dead | Murder Tapes SN3 EP8

Jimi Wanjigi: There is 2 trillion that we do not know where it is coming from. We are living a lie

Igipolisi c'Uburundi cafashe abasuma 6 biyitirira kwari Abakozi b'Imana biba bakoresheje uruyeri

As of 25 June 2026, 89.5 km (50.9%) of the Accra Kumasi Expressway Corridor has been cleared.

Amazing Process of Making Millions of Padlocks & key In Factory | Manufacturing process

MORNING SHINE : MADA MBINU ZA DEREVA KUJIHAMI

(IL)LEGALITY AND THE NEW GLOBAL (DIS)ORDER: 20 YEARS OF COUNTERHEGEMONIC EDUCATION AT THE IUC

THE HUSTLE AND BUSTLE: WHAT'S HAPPENING INSIDE THE SABASABA EXHIBITION

WAVUVI WENGINE WADAIWA KUUAWA NA KIBOKO MAYELE

Ken Macharia part 4 How I Survived In Dubai: Getting A Job, Revoked Visa & Avoiding Being Deported

The Matiang'i Problem: Why Kenyans & Riggy G Have 2ND Thoughts

Ali Nuno Dubat: The Untold Story | Kenya's Most Feared Police Commander

WANANCHI MBARALI WALIA KUNYANG'ANYWA ARDHI YAO NA MWEKEZAJI,MKURUGENZI HALMASHAURI AJIBU SAKATA HILO

በቀን 17 አስክሬን ወደ ኢትዮጵያ ተልኳል.... የመጤ ጠል ችግር በደቡብ አፍሪካ መጨረሻዉ ምንድነዉ ከፓስተር ዶ/ር ሳሙኤል ጌታቸዉ| Seifu on EBS

“TUTAWASHUGHULIKIA WAANDAMANAJI, MWENYE USHAHIDI WA WATEKAJI ANILETEE” - WAZIRI KATAMBI

Saba saba @36:'Dictators Are Sadists',Warning Issued to Gen Z Protesters Over Street Demonstrations

