Uje Roho Muumbaji - D. R. Mbilinyi || Live Performance - Kwaya ya Mt. Sesilia Mavurunza #music

UJE ROHO MUUMBAJI: D. R. Mbilinyi (Organist - Diana Kitika) *Uje Roho Muumbaji, utazame roho zetu. Jaza neema za Mbinguni, ndani ya viumbe vyako. *Unaitwa mfariji, paji la Mwenyezi Mungu, chazo cha uzima moto, pendo, mpaka wa Rohoni. *Mtoa wa vipaji saba, na kidole chake Mungu; Mwahidiwa naye Baba, na msemesha ndimi zetu. *Tia nuru akilini na upendo mioyoni; Tegemeza miili yetu, kwa imara ya kudumu. *Ufukuze mashetani, na amani tupe hima, hivyo uwe kiongozi, tuepuke ovu lote. *Umjulishe kwetu Baba, tukamjue pia Mwana, Tukakusadiki wewe, Roho utokaye kwao. *Atukuzwe Mungu Baba, na Mwanaye mfufuka. Pia roho Mtakatifu, kwa milele na milele. AMINA. #gospelmusic #kwayakatoliki #kanisakatoliki