WAZIRI MKENDA AZINDUA MUONGOZO WA UTOAJI MIKOPO WANAFUNZI WA 'DIPLOMA', ATOA MAAGIZO
#ikulumawasiliano #ikuluzanzibar #ccm #samiasuluhuhassan #habarimaelezo #ktnnews #wizarayahabari #wizarayakilimo #wizarayaafya #wizarayaulinzi SERIKALI kupitia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu nchini (HESLB) imetenga Sh bilioni 48 kwaajili ya kuwakopesha wanafunzi 8,000 watakaodahiliwa kusoma Stashahada (diploma) katika fani za kipaumbele kwa mwaka wa masomo 2023/24. Hayo yameelezwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda wakati wa Uzinduzi wa 'Mwongozo wa Utoaji Mikopo ya Elimu kwa Wanafunzi wa Stashahada' leo Oktoba 04, 2023 katika hafla iliyofanyika katika Ofisi ndogo za HESLB, jijini Dar es Salaam Dar es Salaam, na kueleza kuwa ambapo amesema uamuzi huo umefikiwa kufuatia marekebisho ya HESLB ya mwaka 2017. Imeandaliwa na Frank Buliro na Ismaily Kawambwa Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: / spotileo-176. . HabariLeo: / habarileo DailyNews: / dailynewstz INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09

WACHINA WANNE MBARONI KWA TUHUMA ZA UTEKAJI

RAIS DKT. SAMIA AKIMUAGA RASMI RAIS SHANMUGARATNAM WA SINGAPORE, IKULU DAR ES SALAAM | 9 JUNI, 2026

MBUNGE SHIGONGO AMLIZA MAMA ALIYEMWAMBIA AENDE BENKI AKACHUKUE PESA - ASEMA ALIDHANI UTANI...

LIVING A LIE - DESTINY ETIKO, SARIAN MARTIN, MIKE EZURUONYE, Latest 2026 Nigeria Movie

BODI YA MIKOPO YAFUNGUKA KUTOA BILIONI 787 KWA WANAFUNZI "TUNATOA MIEZI 3, WAOMBE MKOPO"

Sakata la MIKOPO kwa wanafunzi wa vyuo vya kati ahueni laibuka tena Bungeni, Waziri abananishwa

ACT WAZALENDO WATOA TAMKO, MWENYEKITI WAO AIBUA MJADALA “SINA MATOKEO YA URAIS”

JINSI YA KUOMBA MKOPO WA ELIMU KWA NGAZI YA DIPLOMA 2024

Waziri wa Elimu Prof. Adolf Mkenda Atolea Ufafanuzi 10 Bora Kutotangazwa I Wazazi Sikilizeni Ujumbe

MATUKIO YOTE | HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA SIKU YA UHURU WA TANGANYIKA MWAKA 1961

Mwongozo wa uombaji mkopo 2023 -2024 umefunguliwa rasmi,huu hapa utaratibu wa kupata mkopo.

NAYOBORAGA ABASIRIKARE BARINDAGA PEREZIDA KAYIBANDA||GEN KARENZI KARAKE YAMPAYE AMADOLARI||RUGENERA

MAKALA MAALUM YA USIYOYAJUA KUHUSU TABORA NYAKATI ZA USIKU - SEHEMU YA KWANZA

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.

I’m NOT Frying Eggplant Anymore — Few Know This Trick! A Restaurant-Style Eggplant Recipe for Dinner

KAMANDA MULIRO ATAJA VIGOGO WALIOMALIZA MWAKA VIBAYA

ANITA AMONG ISI YAMWIKARAGIYEHO - KNC NA MUTABARUKA

🔴 MAKALA INAYOHUSU UFUGAJI SAMAKI WA VIZIMBA #sautv #mwanza #documentaries

Ukraine Just CUT Crimea's Main Bridge... 60,000 Russian Troops Are TRAPPED

