ARUSHA LEO FUTARI NYAMA CHOMA, MAKONDA: COUPLE ITAKAYOPENDEZA KESHO ARUSHA KUPATA ZAWADI
. Makonda: 'Couple' itakayopendeza kesho Arusha kupata zawadi Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema wapenzi (couple) itakayopendeza kesho katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake itapewa zawadi maalumu. Makonda ameyasema hayo leo Ijumaa Machi 7, 2025 alipokuwa akikagua eneo ambalo nyama choma italiwa bure kwa wakazi wa Arusha kuelekea maadhimisho hayo, ambayo kitaifa yanafanyika jijini humo. Pia, Makonda amesema mgeni rasmi wa siku hiyo atakuwa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan. (Video: Ally Mlanzi) #mwananchiupdates #tunaliwezeshataifa

▶︎
Pazito! AGIZO LA KATAMBI LAPASUA VICHWA | KIGOGO ATEMA NONDO NZITO

▶︎
Markwayne Mullin Explains Process For TPS Holders To Apply For Permanent Visa

▶︎
Major Supreme Court cases that will test Trump's power yet to be decided

▶︎
Heat-related deaths overwhelm Paris mortuaries, leaving families in distress

▶︎
WAKILI MADELEKA AMSHUKIA WAZIRI ATOE KIFUNGU KILICHOMPA MAMLAKA KUMUAMRISHA IGP

▶︎
Supreme Court to potentially release major decisions as term ends

▶︎
7 arrested in connection with Reflecting Pool vandalism, official says

▶︎
New poll shows Platner with slight edge over Collins in tight Senate race

▶︎
Beat the heat: Tips for staying cool in a heat wave

▶︎
Saxony-Anhalt: Why this election will be a fateful day for Germany | NIUS Live

▶︎
CHISANO JR ASHANGAZWA NA USINDANI WA UFUNGAJI LIGI KUU AELEZA WASIOJUA MPIRA NDIO WALIMDHARAU OKELLO

▶︎
