Ufugaji bora wa kisasa wa mbuzi na kondoo.Fuga mbuzi na kondoo inalipa

KANUNI BORA ZA UFUGAJI WA MBUZI NA KONDOO Mbuzi na kondoo ni wanyama ambao wanaweza kufugwa kwa gharama nafuu pia ni wavumilivu wa ukame na maradhi tofauti na ngo’mbe kwa kua wana... Mbuzi na kondoo ni wanyama ambao wanaweza kufugwa kwa gharama nafuu pia ni wavumilivu wa ukame na maradhi tofauti na ngo’mbe kwa kua wana umbile dogo wanaweza kufugwa katika eneo dogo na nguvu kazi ndogo na hata kwa wenye kipato kidogo. Pia mbuzi huuzaa(uzao) kwa muda mfupi ili kumwezesha mfugaji kuwa na mifugo mingi kwa muda mfupi Mbuzi na kondoo wanaweza kufugwa kwa ajili ya nyama/maziwa/ngozi/sufi na mazaomengine kwa matumizi ya familia na kuongeza kipato. NAMNA BORA YA UFUGAJI:- 1. Wafugwe kwenye banda bora 2. Chagua kulingana na sifa zao na lengo la ufugaji(uzalishaji)nyama/maziwa/sufi. 3. Walishwe chakula sahihi kulingana na umri 4. Kuzingtia ushauri wa mtaalamu wa mifugo hasahasa namna ya udhibiti wa magonjwa. 5. Kuweka kumbukumbu za uzalishaji. 6. Kuzalisha nyama/maziwa/sufi bora unaokidhi mahitaji ya soko. UFUGAJI WA MBUZI NA KONDOO:kanuni bora,mbegu,banda ... Kibaha Farm: Mradi wa ufugaji kuku wa mayai, mbuzi, kondoo ... Wakulima wauza ng'ombe wao ili kununua mbuzi na kondoo ... Jinsi ya kuzalisha Mbuzi wengi kwa pamoja (synchronization ... Jinsi ya kuwapa mbuzi na kondoo lishe nyongeza kwa kunenepesha. Usipuuze ufugaji kondoo, bado bidhaa zake zina pato kubwa #mkulimasmart #shambadarasa Sotoka ya mbuzi na kondoo UGONJWA UNAOSUMBUA WAFUGAJI WA MBUZI NA KONDOO NCHINI KANUNI BORA ZA UFUGAJI WA MBUZI NA KONDOO ama tanzania ufugaji wa kondoo tanzania ufugaji wa mbuzi kibiashara pdf magonjwa ya mbuzi na matibabu ufugaji wa mbuzi jamii forum magonjwa ya mbuzi na tiba zake soko la maziwa ya mbuzi bei ya kondoo