VERONICA MBASHA: Mtengeneza batiki msomi mwenye ndoto ya kuwa na viwanda mikoa mitano

#VeronicaMbasha #Batiki #Segerea #ChuoKikuuDar Mfanyabiashara ya Batiki nchini Tanzania mwenye elimu ya Shahada ya Uzamili katika Chuo cha Dar Es Salaam, amesema ndoto yake ni kuwa na viwanda mikoa mitano.