Mjamzito unatakiwa kuanza kuhudhuria Clinic Mimba ikifikisha umri gani??? Na mara ngapi???
Mjamzito unapojigundua una Mimba basi mara moja wahi Clinic usisubiri ufikishe miezi mitatu au mtoto acheze tumboni ndipo uanze kwenda clinic! Kumbuka ni muhimu kuwahi clinic kabla ya wiki 12 / 16 za ujauzito wako, unapowahi utapewa dawa na ushauri nasaha kwa ajili ya kumlinda mtoto wako na shida mbalimbali! Unatakiwa kwenda/kuhudhuria clinic Mara 8 mpaka unajifungua mtoto wako au ukishindwa sana/Mimba yako haina shida unaweza kwenda au kuhudhuria clinic wastani Mara 6 mpaka kujifungua! Ukiwa una maswali unaweza kuuliza hapa chini (kwenye comments za youtube). Subscribe,Comment and Share JapideAfya_Services Your Health is Our Health Instagram as @JapideAfya_Services Facebook page as @JapideAfya_Services ©Dr.Mwanyika #MamAfya #Clinic #JapideAfya_Services

Vifaa vya kujifungulia mama mjamzito|Vifaa muhimu kwenye maandalizi ya kujifungua 😉

🩸Phlebotomy Certification Practice Test – 50 Questions to Help You PASS!

Dalili za Mimba Changa ya Wiki Moja! | Dalili 30 za Mimba Changa, Mimba ya Wiki 1 hadi Mwezi 1.

DALILI ZA CHANGO LA UZAZI

Dalili ZA Mimba Changa Ya Mapacha Ya Miezi 2 AU Wiki 8 Kwa Mjamzito| Mimba Ya Mapacha Ya Wiki 8

What happens to a woman in the 4th and 5th month of pregnancy? Let's take a pregnancy journey tog...

Dalili za mimba ya wiki moja??(Je ni kweli Dada/Mama anaweza kuziona dalili za mimba ya wiki moja?)

Je Dalili ZA Mtoto Tumboni Kushuka Kwenye Nyonga Zipi?? | Dalili 11 ZA Mtoto Kushuka Kwa Mjamzito!

Je Lini Ultrasound Huanza Kuonesha Mimba KWA Mjamzito? | Lini Ufanye Ultrasound Ili Kuona Mimba??!.

Je Kwa Nini Mjamzito Hukosa Hamu Ya Kula Chakula?? (Kukosa Hamu Ya Kula Chakula NA Suluhisho Lake!).

Jinsi Ya Kuinama Kwa Mjamzito Ktk Kipindi Cha Ujauzito?? (Kuinama Kwa Mama Mjamzito Ktk Ujauzito)?.

Mjamzito Mwenyewe Sifa Hizi Bed Rest Inakuhusu Ktk Ujauzito Wako!!!

Je Maumivu ya Tumbo kwa Mjamzito husababishwa na nini? | Mambo gani hupelekea Maumivu ya Tumbo??

Dalili hatari kwa Mjamzito | Dalili za hatari kwa Mama Mjamzito

Introduction to Suture

Mr Beans Zahnarztprobleme | Mr Bean Deutschland

Je Madhara Ya Kutokunywa Maji Ya Kutosha Kwa Mjamzito NI Yapi?| Faida ZA Unywaji Maji Kwa Mjamzito!!

Viral hepatitis (A, B, C, D, E) - causes, symptoms, diagnosis, treatment & pathology

Je Mjamzito Mwenye Mtoto Mkubwa Tumboni Hutokana na Nini? (Sababu Na Athari Za Mtoto Mkubwa Tumboni)

