NDOTO ÉPISODE 5. ❤️FULL STORY

NDOTO yangu si kubaki pale nilipo, bali ni kuona maisha yangu yakifanikiwa kwa neema ya Mungu. Kila hatua ninayopiga leo, ni mbegu ya mafanikio ya kesho. Maisha ni safari, na ndoto yangu ni kufika juu bila kukata tamaa. Mungu aliweka ndoto ndani yangu kwa sababu ana mpango wa kunifanikiwa. Leo ninaweza kulia, lakini kesho nitashuhudia ushindi wa maisha yangu. Mafanikio yangu yatawaonyesha wengi kwamba Mungu habadiliki. Ndoto yangu ni kuishi maisha yenye heshima, amani na baraka. Sitakata tamaa, kwa sababu kila changamoto ni daraja la mafanikio yangu. Maisha yangu yatabadilika, na ndoto yangu itakuwa ushuhuda mkubwa. Nitaendelea kupambana mpaka ndoto yangu itimie. Mistari ya Biblia kuhusu mafanikio na ndoto: “Maana nayajua mawazo ninayowawazia… mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.” — Biblia “Naweza kufanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.” — Biblia “Bwana atakufanikisha katika kila kazi ya mikono yako.” — Biblia