KIJANA AZINDUA GARI LISILOTUMIA MAFUTA WALA UMEME-ADAIWA KUDANGANYA- AZUA MJADALA MKUBWA-AITWA IKULU
KIJANA AZINDUA GARI LISILOTUMIA MAFUTA WALA UMEME-ADAIWA KUDANGANYA- AZUA MJADALA MKUBWA-AITWA IKULU #SungulaniMaxwellChikumbutso #zimbabwe #hypersonic Zimbabwe inatarajia kuzindua gari lililopewa jina la Saith EV tarehe 10 Februari mwaka huu—gari linalojiendesha lenyewe, lenye kasi ya hadi kilomita 220 kwa saa na linalodaiwa kuwa na uwezo wa kutembea bila kikomo. Gari hili limeundwa na kijana mdogo wa Kiafrika kwa kushirikiana na kampuni ya Kichina na litagharimu dola 14,000, sawa na hela za Kibongo milioni 35 kwa kila moja. Rais Mnangagwa amelipongeza gari hili kuwa la kipekee duniani. Mapema wiki hii, Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, alizindua aina mbili za magari pamoja na pikipiki moja yanayodaiwa kutumia chanzo cha nishati cha mapinduzi—teknolojia inayopingana na kanuni za fizikia ya kawaida. Hii ni teknolojia iliyotengenezwa na kampuni ya Saith Technologies. Mvumbuzi wa teknolojia hii, Maxwell Sangulani Chikumbutso mwenye umri wa miaka 44, anadai kuwa uvumbuzi wake hauhitaji mafuta wala betri, badala yake unatumia masafa ya redio kuzalisha nishati. ============================================================ ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

CECOT: GEREZA la KUTISHA la WAFUNGWA wa MAGENGE HATARI - HAWAONI JUA -KUTOROKA HAIWEZEKANI KABISA..

TEKNOLOJIA: TOYOTA INAYOTUMIA UMEME NA MAFUTA, INAJICHAJI UKIIENDESHA, INAJICHAJI UKISHIKA BREKI

WATANZANIA WABUNI GARI INAYOTUMIA UMEME UDSM "TUMEANZA KUUNDA GARI YA POLISI AMBULANCE ITAFATA"

Africa's Energy Secret: The Unlimited Range Car Big Oil Doesn't Want You To See

MZEE ABUNI UMEME WAKE “HAUKATIKI, SIJASOMA, NILITENGENEZA HELIKOPTA WAZUNGU WAKACHUKUA"

KAPTENI IBRAHIM TRAORÉ: Mwanajeshi Mtata na RAIS wa mpito wa BURKINA FASO aliyempindua BOSI wake

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.

Pt. 1 - Rais Ibrahim Traore Anavyopambana Kuinyanyua Burkina Faso

Polisi wa Dubai walivyomnasa HUSHPUPPI, Mnaija TAJIRI wa Instagram ALIYETAPELI Trilioni 1 mtandaoni

በማራቶን የተገጣጠመው አዲሱ ዘመናዊው ተሽከርካሪ! | Marathon Motors | Karibu Auto - ካሪቡ አውቶ| @ArtsTvWorld

KWANI WEWE NI CHAMA GANI? Kalamu episode 26

Rais Samia wa Tanzania anatafuta nini Urusi? Katika Dira ya Dunia TV

How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds

MTANZANIA 'GENIUS' ALIYEGUNDUA 'NOBE AI' AELEZA JINSI ITAKAVYOTEKA SOKO MAREKANI - INAVYOFANYA KAZI

Nigeria: ‘Renewed Hope’ or ‘Hopelessness’? | Mehdi Hasan and Daniel Bwala | Head to Head

MJUE KAMANDA NANGAA– MSHIRIKA MKUU wa M23 ALIYEJITOKEZA HADHARANI LICHA ya KUHUKUMIWA KIFO...

KUMALIZA VITA NCHI ZA KIAFRIKA VIJANA WAOANE

Maxwell Chikumbutso - 5000 KW FREE ENERGY from RADIO WAVES | 100% Working Model DIY

Ukichaji gari hili la umeme nyumbani kwa umeme wa elfu 20 unatembea kwa zaidi ya kilometa 300

