MAHAFARI YA KWANZA KIDATO CHA SITA IDETE NMB BANK WANOGESHA
Shule ya Sekondari IDETE imefanya sherehe ya Mahafari ya kwanza kwa wahitimu wa kidato cha sita Mkuu wa shule Mwl.PAUL MDAKI ameishukuru Serikali ya awamu ya sita kwanamna ilivyowezesha shule hiyo kimiundombinu amesema kila mwezi shule inapokea TSH milioni sita kwaajili ya gharama za uendesheji ikiwemo kuandalia mitihani , lakini pia ameomba wadau kujitokeza kusaidia kuondoa upungufu wa viti na meza kwani idadi ya wanafunzi kwa sasa ni zaidi ya Elfumoja Akizungumza kwa niaba ya Meneja wa BANK ya NMB Tawi la Tabora NDG JOHN KIMARO amesema wao kama Bank wataleta Viti na Meza miamoja ilikukabilina na changamoto ya upungufu wa samani hizo hapo Shule

▶︎
MOHAMED NASSOR HAMDAN ATEMBELEA SHULE YA SEKONDARI IDETE

▶︎
RSA TANZANIA YATEMBELEA SHULE ZA UZURI NA KILIMANI KUTOA ELIMU YA USALAMA BARABARANI

▶︎
CASFETA IDETE SEC - NAKUPENDA (OFFICIAL VIDEO)

▶︎
MTAZAME'Mwanafunzi Huyu aimba nyimbo ya Alikiba kwenye Graduation

▶︎
RC MRINDOKO AIPONGEZA TANGANYIKA DC KWA KUTENGA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE.

▶︎
WAUMINI 700 TABORA, KIGOMA WAPATIWA MBINU ZA KUJITEGEMEA KIUCHUMI

▶︎
SHULE PEKEE YA SERIKALI ILIYOINGIA 10 BORA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE, "TUKO WAKALI KULIKO"

▶︎
Man Rescues a Mother Bald Eagle Caught on a Fence – Her Chick Waits Below

▶︎
FEEL GOOD Golden Buzzer Audition! Bruno Tonioli's FIRST EVER Golden Buzzer Audition on BGT 2023!

▶︎
WIKI YA WAZAZI MKOA WA TABORA YAFANYIKA WILAYA YA SIKONGE

▶︎
CRDB YAIGUSA IDETE SEKONDARI UYUI

▶︎
CCM TABORA MJINI WATOA MAELEKEZO KWA WABUNGE,MADIWANI NA WENYEVITI WA MITAA,VIJIJIJI NA VITONGOJI

▶︎
WANAFUNZI NA WALIMU WAKABIDHIWA SHILINGI MILIONI 2 KAMA HAMASA KUELEKEA MASHINDANO YA UMISETA

▶︎
MAHAFARI YA PILI KIDATO CHA SITA IDETE SEKONDARI 2023

▶︎
UZINDUZI WA KITUO CHA AFYA SUNUKA WILAYANI UVINZA

▶︎
Ghetto Kids Bruno's First Golden Buzzer Full Performance | Britain's Got Talent 2023 Auditions WK 1

▶︎
RC SHIGELA AIPONGEZA NYANG'HWALE JUU YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

▶︎
MHE SALMA MWENDAPOLE AWASHUKURU WANANCHI WA KATA YA TUMBI

▶︎
JESHI LA UHAMIAJI LATOA MAFUNZO KWA MAAFISA USAFIRISHAJI

▶︎
