ALIYEMUUA MKEWE NA KUMCHOMA NA MAGUNIA YA MKAA AHUKUMIWA KUNYONGWA
Khamis Luwoga (45) Maarufu kama Meshack aliyekuwa akikabiliwa na shtaka la kumuua mke wake, Naomi Marijani na kisha kuuchoma mwili wake kwa kutumia magunia mawili ya mkaa amehukumiwa kunyongwa hadi kufa. Hukumu hiyo imesomwa jana Februari 26,2025 na Jaji Hamidu Mwanga Wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam baada ya kuridhika na ushahidi uliotolewa na mashahidi 14 wa upande wa Jamuhuri ambao wameweza kuthibitisha pasipo kuacha shaka kuwa mtuhumiwa ametenda kosa hilo. Na ndugu wa marehemu sasa watakabidhiwa mabaki ya mwili wa ndugu yao kwa ajili ya kwenda kukamilisha taratibu za maziko nyumbani kwao Kilimanjaro. Ikumbukwe bwana Meshack alifunga ndoa ya kanisani na mkewe Naomi na walibahatika kupata mtoto mmoja wa kike na kisa cha mauaji hayo kwa mujibu wa bwana Meshack ni wivu wa kimapenzi na ni baada ya kukosa maelewano ya muda mrefu na mkewe huyo ,Na siku ya tukio bwana Meshack anasema alimpiga mkewe na alipopoteza maisha alimkatakata kisha akachimba shimo ambalo alikoleza mkaa na kuanza kumchoma kidogokidogo mpaka akamaliza mwili wote na hatimae akabeba mabaki ya mwili huo na kwenda kuufukia shambani kwake mkuranga na kupanda mgomba juu ya shimo hilo.

MKE AMKARIBISHA MCHEPUKO WA MUMEWE NYUMBANI WAISHE WOTE NA KULALA CHUMBA KIMOJA

BAADA YA KUMWAMBIA MKEWE ARUDI NYUMBANI AKAPUMZIKE MKE AGOMA KURUDI/AOMBA TALAKA

RAIS DKT. SAMIA AKISHIRIKI UFUNGUZI WA JENGO LA TIBA YA MIONZI KWA WAGONJWA WA SARATANI, KCMC MOSHI

MAMA MPAKISTAN ATELEKEZWA CHANIKA NA MUMEWE ALITOROSHWA AKIWA MDOGO

MUME AKIRI KUMUUA NA KUMCHOMA MOTO MKEWE, POLISI YAFUKUA MAJIVU

LEKAN ADEKANMBI, THE KILLER OF FATINOYE FAMILY UNVEILED 1

TAHARUKI : BINTI WA KAZI ASIMULIA NAMNA BOSS WAKE ALIVYOUWAWA NA KUFUKIWA KWENYE SHIMO LA MGOMBA

MFANYABIASHARA wa MADINI AKAMATWA kwa MAUAJI ya MKE WAKE - MWILI WAKUTWA MTONI - AKANA KUMFAHAMU...

ALIYEMUUA MKEWE KWA KUMCHOMA, ATISHIA MBELE YA HAKIMU "NITAFANYA KITU MBAYA"

KILICHOMKUTA DADA HUYU BAADA YA KUPATA MPENZI KWENYE MTANDAO IWE FUNDISHO KWA WENGINE

#END: TRUE STORY OF HAMIS WHO KILLED HIS WIFE - JUDGE GIVES DEATH SENTENCE TO THE DEFENDANT...

Where Is She?-Nakuru family's agony deepens as missing daughter Mary Njeri vanishes without a trace

MZEE SAID!SIMBA NA YANGA WOTE AWATOPOTEZA MCHEZO BINGWA YANGA/KWA NIN FINAL IPELEKWE GOMBANI PEMBA?

Wee Paul Amewaka Moto He Want To Meet The Auntie Fake Mother To Joy And Babu Mwenye Mtoto Na Vitu😭💔😭

Hii ni simulizi ya tukio la Said Luwongo kumuua mkewe, Naomi Marijani na kuuchoma mwili kwa mkaa 😭😭

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

SHOCKING! Lady Arrested After Leaking Boss’ Private Photos – What Happened Next Will Shock You

WASIFU WA NAOMI WALIZA WATU UPYA, KAKA WA MAREHEMU ASIMULIA MAZITO "ALITUADANGANYA NAOMI KASAFIRI"

NILIMFAHAMU KUPITIA VIDOLE VYAKE NA ALAMA YA MKONONI-MAMA TEMBA ALIYEULIWA NA KUKATWA KICHWA

