POLISI YATAJA ORODHA YA WABUNGE WALIOPATA AJALI DODOMA

Siku ya jana Ijumaa December 6,2024 kamanda wa polisi mkoa wa Dodoma SACP George katabazi alithibitisha kutokea kwa ajali ya basi, kampuni ya shabibi Line lenye namba za usajili T.149 EGM aina Yutong na lori la Mizigo lenye namba za usajili T. 941 ARJ katika eneo la Mbande Wilayani Kongwa majira ya saa 2 asubi na kusababisha jumla ya majeruhi 23. Kwa mujibu wa taarifa za kamanda huyo alisema chanzo cha ajali hiyo ni uzembe wa dereva ambae alikuwa anaendesha basi lililobeba wabunge kuelekea nchini kenya kwenye mashindano ya Michezo ya mabunge ya afrika mashariki Leo hii Desemba 7,2024 ametaja baadhi ya majina ya wabunge waliopata ajali hiyo kwani siku ya jana hakuweza kutaja jina lolote la mtu yeyote aliyepata ajali isipokuwa dereva wa kampuni ya Shabiby Video na Hamis Mniha

DEREVA MWANAMKE WA BASI ALIYEPATA AJALI NA KUKATIKA MKONO ASIMULIA ALICHOKIONA "NILIZIMA LISILIPUKE"
▶︎

DEREVA MWANAMKE WA BASI ALIYEPATA AJALI NA KUKATIKA MKONO ASIMULIA ALICHOKIONA "NILIZIMA LISILIPUKE"

KALENJINS take U-TURN Ruto STRANDED as LEAKED Turkana VIDEO goes VIRAL Orengo QUICKLY react KWISHA!
▶︎

KALENJINS take U-TURN Ruto STRANDED as LEAKED Turkana VIDEO goes VIRAL Orengo QUICKLY react KWISHA!

GUMZO!! MBUNGE HUYU MZANZIBARI ATOA ONYO LA KUUWAWA KWA WANAOZUNGUMZIA MUUNGANO NA KUZUA TAHARUKI
▶︎

GUMZO!! MBUNGE HUYU MZANZIBARI ATOA ONYO LA KUUWAWA KWA WANAOZUNGUMZIA MUUNGANO NA KUZUA TAHARUKI

MWANDISHI AMTWANGA SWALI AFANDE MULIRO - KWA NINI TRA WALIKWENDA BILA POLISI? - APANGUA kwa HOJA...
▶︎

MWANDISHI AMTWANGA SWALI AFANDE MULIRO - KWA NINI TRA WALIKWENDA BILA POLISI? - APANGUA kwa HOJA...

GĨIKARO NA SEN. JOHN METHU; #KĨRĨRĨMBĨ
▶︎

GĨIKARO NA SEN. JOHN METHU; #KĨRĨRĨMBĨ

WABUNGE 22 WAJERUHIWA AJALI ya BASI DODOMA - WAZIRI JENISTA MHAGAMA AFIKA HOSPITALI KUWAJULIA HALI..
▶︎

WABUNGE 22 WAJERUHIWA AJALI ya BASI DODOMA - WAZIRI JENISTA MHAGAMA AFIKA HOSPITALI KUWAJULIA HALI..

ALLEGED SUDI AND KIHIKA GOONS SHOT AND KILLED FOR GOON ACTIVITY! THEN THEY BLAME INNOCENT MP!
▶︎

ALLEGED SUDI AND KIHIKA GOONS SHOT AND KILLED FOR GOON ACTIVITY! THEN THEY BLAME INNOCENT MP!

Siri iliyopo jiwe la  UDOM 2007-2017
▶︎

Siri iliyopo jiwe la UDOM 2007-2017

AJALI ya WABUNGE DODOMA - KAMANDA ATOA TAARIFA MPYA - "TUNAMSHIKILIA DEREVA wa BASI la WABUNGE"...
▶︎

AJALI ya WABUNGE DODOMA - KAMANDA ATOA TAARIFA MPYA - "TUNAMSHIKILIA DEREVA wa BASI la WABUNGE"...

MAKALA: MABADILIKO YA JIJI LA DODOMA KWA SASA...DODOMA FAHARI YA WATANZANIA..
▶︎

MAKALA: MABADILIKO YA JIJI LA DODOMA KWA SASA...DODOMA FAHARI YA WATANZANIA..

Ruto heart attack as New DCP SG John Methu holds Mega Rally in Ol Kalou to sell DCP Candidate!🔥
▶︎

Ruto heart attack as New DCP SG John Methu holds Mega Rally in Ol Kalou to sell DCP Candidate!🔥

🔴 #Live: President Ruto Attends Zipporah Kosgey's Send Off in Nandi
▶︎

🔴 #Live: President Ruto Attends Zipporah Kosgey's Send Off in Nandi

BREAKING: BASI LILILOBEBA WABUNGE WA TANZANIA LAGONGANA NA LORI “WABUNGE WAPO HOSPITALI”
▶︎

BREAKING: BASI LILILOBEBA WABUNGE WA TANZANIA LAGONGANA NA LORI “WABUNGE WAPO HOSPITALI”

🔵 POLISI MJIFUNZE KUPITIA KIFO CHA RPC TABORA -LEMA
▶︎

🔵 POLISI MJIFUNZE KUPITIA KIFO CHA RPC TABORA -LEMA

Anchor Media ''የአሜሪካው የቪዛ ማዕቀብ ትብብሩን ያፋጥነዋል'' ፕ/ር መሀመድ ሀሰን
▶︎

Anchor Media ''የአሜሪካው የቪዛ ማዕቀብ ትብብሩን ያፋጥነዋል'' ፕ/ር መሀመድ ሀሰን

Male lion attacks over 20 hyenas
▶︎

Male lion attacks over 20 hyenas

የኦባማ ዱላ እና ያልተጋበዙት ፕሬዚዳንት|የአርብ፣ሰኔ 12, 2018 ዜናዎቻችን| Arts Tv #ethiopia #ethiopiannews
▶︎

የኦባማ ዱላ እና ያልተጋበዙት ፕሬዚዳንት|የአርብ፣ሰኔ 12, 2018 ዜናዎቻችን| Arts Tv #ethiopia #ethiopiannews

MUME WA ALIYEFARIKI CHUMBANI NA MWANAJESHI  MSTAAFU TABORA AELEZA MAZITO
▶︎

MUME WA ALIYEFARIKI CHUMBANI NA MWANAJESHI MSTAAFU TABORA AELEZA MAZITO

RC MRINDOKO AIPONGEZA TANGANYIKA DC KWA KUTENGA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE.
▶︎

RC MRINDOKO AIPONGEZA TANGANYIKA DC KWA KUTENGA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE.

KASESE NRM CADRES COMMEND MUSEVENI’S CABINET AMIDST JUBILATION EVENT CANCELLATION
▶︎

KASESE NRM CADRES COMMEND MUSEVENI’S CABINET AMIDST JUBILATION EVENT CANCELLATION