MZAZI WA MWANAFUNZI WA UDOM AELEZA KILICHOSABABISHA KIFO CHA MWANAYE
Bakari Kabuga ambaye ni baba mzazi wa mwanafunzi, Said Kabuga, aliyefariki dunia baada ya kutumbukia katika kisima cha maji eneo la Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), ameeleza anachokiita ni sababu ya kifo cha kijana wake na siyo michezo ya kubeti kama ilivyoelezwa. Kabuga alifariki dunia usiku wa kuamkia Novemba 26, 2025 baada ya kutumbukia kwenye kisima na taarifa kutoka kwa wanafunzi waliokuwa karibu naye zilieleza kuwa alionekana mwenye mawazo na kueleza kuwa alikuwa ametumia fedha za ada kwenye michezo ya kubahatisha. Leo Alhamisi, Novemba 27, 2025 Bakari Kabuga amesema hakuna ukweli kuwa kijana wake huyo alikuwa ametumia fedha kwenye michezo ya kubahatisha kwani siyo tabia yake na hajawahi kujiingiza kwenye michezo hiyo. Kabuga amesema anachokiamini ni kuwa kijana wake kweli huenda alikuwa na hofu lakini iliyotokana na kushindwa kufaulu moja ya masomo yake alipokuwa muhula wa kwanza kwenye masomo yake. Meneja Mahusiano wa DOM, Rose Mdame, amesema taarifa za kushindwa kufikia alama zilizotakiwa hata kupeleka kufeli mojawapo ya somo ndiyo amezisikia, hivyo akaomba kufuatilia zaidi. Hata hivyo, Rose amesema mambo yatazungumzwa na Polisi watakapokamilisha uchunguzi, hivyo kwa sasa chuo hakiwezi kuzungumza. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gallus Hyera amesema mpaka sasa Polisi hawawezi kusema kuwa kifo hicho kilitokana na kitu gani, kwani bado wanafanya uchunguzi.

MAUAJI UDOM: MWANAFUNZI ADAIWA KUPIGWA CHUMA KICHWANI NA MWENZAKE, AFIA HOSPITALI, KAKA YAKE AELEZA

BABA WA MAREHEMU AFICHUA MAZITO TUKIO LA MAUAJI YA WANANDOA BONYOKWA

NYUMBANI LILIPOTOKEA TUKIO LA MUME KUMUUA MKEWE KWA RISASI MWANZA, MAJIRANI WASIMULIA

Cooking A Massive Lamb Pilaf For a Mountain Village Feast!

HAO NI WEZI ! .Kalamu episode 33.

Inama ya Unity Club | Gen (Rtd) Fred Ibingira

MUME WA MWANAMKE ALIYEFIA GEST AFUNGUKA "NDUGU WANATAKA KUONDOKA NA MAITI PAMOJA NA WATOTO"

WAZIRI MAKONDA AWAVAA CHADEMA BUNGENI | WANAZUNGUKA KUKINANGA CHAMA CHA MAPINDUZI | SISI WAKUBWA

🔵LEMA AMCHAPA ZA USO KABUDI JIMBONI KWAKE KILOSA

UTATA KIFO CHA MWANAFUNZI WA UDOM FAMILIA ,KAMANDA WA POLISI WAFUNGUKA

#live : PPP as a Strategic Financing Engine for FYDP IV and Tanzania Vision 2050.

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

UTATA KIFO CHA MWANAFUNZI WA UDOM, RAFIKI YAKE ASIMULIA

WATCH MC PILIPILI'S FUNERAL WHICH WAS HELD WITH GREAT RESPECT

MGANGA AHUKUMIWA KUNYONGWA KWA MAUAJI YA MUUGUZI MSTAAFU KCMC -1

"INAHITAJIKA MIUJIZA" AMRI KIEMBA AITABIRIA TIMU HII UBINGWA LIGI KUU, AMCHAMBUA MVP, MFUGAJI BORA !

Finally Gichobi brothers comes out.we were not able to help our brother but God did

Andrew Kibe Under Fire!: His Remarks on Stivo Simple Boy Sparks Outrage, Dr. Ofweneke Deletes Video!

