Almighty - Fidel Rayd ft. Kushman

......................LYRICS...................... Si ya illuminati, juju ama wash wash Ni mambo ya nani ??? Me ata sikujui na una sema ati auni pendi My friend io si chuki io ni envy Jealousy ni disease Inaeza ku maliza nani Enda upigwe syringe Before ufike 6 feet Kwa akili zao Na shinda kama psychic Walidhani nda anguka Ju walisema they don't like me So silly, Awakujua nina Almighty Na cheki waki chunguza Acha niwa onyeshe how my life is Life ni tiffin, siri Ni kuji tuma kiasi na baraka ya almighty Life ni tiffin, siri Ni kuji tuma kiasi na baraka ya almighty Ni mambo ya God, Mambo ya God Si ya illuminati juju ama wash wash Ni mambo ya nani ? Mambo ya God Ka ujinga, Kwa akili yake naishi rent free Anasema tuna beef ? Me ata sikujua ana exist Ni Jealousy ndio ana confuses na ku beef Uyo mjinga ju ani pendi anaona mungu pia ani.. Nani saja si wa kwenyu acha ujinga Kuto ni penda aiezi fanya asini bless Nani saja si wa kwenyu acha ujinga We kuni chukia aiezi fanya niende hell brav Si heshimu haters wageni Ata heri day ones Nyumangu ani pendi Mbele yangu anaomba favors Ni bad things peke ana wish on me Lakini aki cheki vile life inaenda Life ni tiffin, siri Ni kuji tuma kiasi na baraka ya almighty Life ni tiffin, siri Ni kuji tuma kiasi na baraka ya almighty Ni mambo ya God, Mambo ya God Si ya illuminati juju ama wash Ni mambo ya nani ? Mambo ya God Na fwata na baraka ya almighty Nilianza life na ku tembeza kaimati Kidogo kidogo chai na chapati Nika uza mtura na sambisa ya samaki Sai nime omoka maisha yangu safari Na God ndio dere na bado naenda mbali Si dumba si juju si uchawi tafadhali Ni mambo ya God tamu sana kama asali Kwa akili zao na shinda kama psychic Walidhani nda anguka Ju walisema they don't like me So silly, Awakujua nina Almighty, na cheki waki chunguza Acha niwa onyeshe how my life is Life ni tiffin, siri Ni kuji tuma kiasi na baraka ya almighty Life ni tiffin, siri Ni kuji tuma kiasi na baraka ya almighty Ni mambo ya God, Mambo ya God Si ya illuminati juju ama wash Ni mambo ya nani ? Mambo ya God