DAY ONE: SEMINA WANAUME: Nafasi ya 'Mwanaume' katika familia Mwalimu: Josephat Mayengo - Julai10

Ni uzinduzi wa juma la wanaume katika kanisa la FPCT Shalom Temple Julai 10 hadi Julai 13 2019 pamoja na mwalimu Josephat Mayengo toka Kibondo Kigoma, na Jumatano Julai 10 2019 ni siku ya kwanza ya semina hiyo.