Mgomo wa Madereva Bolt Watikisa Dar, Wazingira ofisi: 'Wanatunyonya Sana'

Mgomo wa Madereva Bolt Watikisa Dar, Wazingira ofisi: 'Wanatunyonya Sana' Madereva wa taksi za mtandaoni za kampuni ya Bolt leo Oktoba 15, 2024, wameandamana mpaka makao makuu ya kampuni hiyo yaliyopo Morocco, Kinondoni, jijini Dar es Salaam. Madereva hao wanapinga kiwango cha bei za nauli kuwa chini, wanataka makato ya kamisheni yashuke kutoka asilimia takribani 25 hadi asilimia 10, suala la huduma kwa wateja pia wanashinikiza liboreshwe, wanataka abiria nao wawajibike kwenye masuala mbalimbali na pia wanapinga suala la akaunti zao kuzuiliwa ovyo. Baada ya kufika katika ofisi hizo polisi waliwashinikiza waelekee katika viwanja vya Polisi Oysterbay, kitu ambacho walikubali na baada ya kufika hapo, mkuu wa wilaya ya Ubungo, Saad Mtamule, pamoja na Mkurugenzi wa Bolt, Dimmy Kanyankole, wakafika na kuzungumza nao. Unaweza kutufuatilia kupitia; TWITTER:   / thechanzo   INSTAGRAM:   / thechanzo   FACEBOOK:   / thechanzo   TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_... Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105 The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

MLIMA KITONGA: MADEREVA WAPAZA SAUTI/ TUNATEKWA, KUKABWA, AJALI/ WIZI WA MAFUTA!/ HAKUNA DORIA?
▶︎

MLIMA KITONGA: MADEREVA WAPAZA SAUTI/ TUNATEKWA, KUKABWA, AJALI/ WIZI WA MAFUTA!/ HAKUNA DORIA?

HII HATARI MADEREVA UBER NA BOLT WAAPA KUANDAMANA/WAMUOMBA RAIS SAMIA AWASAIDIE/WALIA KWA UCHUNGU
▶︎

HII HATARI MADEREVA UBER NA BOLT WAAPA KUANDAMANA/WAMUOMBA RAIS SAMIA AWASAIDIE/WALIA KWA UCHUNGU

| SUNDAY LIVE | THE JIMI WANJIGI PLAN
▶︎

| SUNDAY LIVE | THE JIMI WANJIGI PLAN

BOLT NI SAFARI, PESA NA MAISHA, MADEREVA WANUNUA MAGARI MAPYA NA KUFUNGUA BIASHARA
▶︎

BOLT NI SAFARI, PESA NA MAISHA, MADEREVA WANUNUA MAGARI MAPYA NA KUFUNGUA BIASHARA

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'
▶︎

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'

Madereva watanzania waliotekwa Congo wasimulia ilivyotokea mpaka kuokolewa kwao
▶︎

Madereva watanzania waliotekwa Congo wasimulia ilivyotokea mpaka kuokolewa kwao

Serikali Yapiga Marufuku Mikutano ya Vyama, Yatoa Msimamo Kuhusu Maandamano, IGP Apewa Maagizo
▶︎

Serikali Yapiga Marufuku Mikutano ya Vyama, Yatoa Msimamo Kuhusu Maandamano, IGP Apewa Maagizo

LIVE WAZIRI WA AFYA MH. MOHAMED MCHENGERWA ANAWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA AFYA 2026/2027 BUNGENI
▶︎

LIVE WAZIRI WA AFYA MH. MOHAMED MCHENGERWA ANAWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA AFYA 2026/2027 BUNGENI

Inama ya Unity Club | Gen (Rtd) Fred Ibingira
▶︎

Inama ya Unity Club | Gen (Rtd) Fred Ibingira

WAZIRI MAKONDA AWAVAA CHADEMA BUNGENI | WANAZUNGUKA KUKINANGA CHAMA CHA MAPINDUZI | SISI WAKUBWA
▶︎

WAZIRI MAKONDA AWAVAA CHADEMA BUNGENI | WANAZUNGUKA KUKINANGA CHAMA CHA MAPINDUZI | SISI WAKUBWA

Mgomo wa Madereva Uber wafichua yauvunguni, "Ukiwa na mgogoro na Uber suluhisho Uholanzi"
▶︎

Mgomo wa Madereva Uber wafichua yauvunguni, "Ukiwa na mgogoro na Uber suluhisho Uholanzi"

Mgomo wa Madereva wa Uber wazidi kutikisa, "Sisi siyo madereva wao, tumewapa masaa 48"
▶︎

Mgomo wa Madereva wa Uber wazidi kutikisa, "Sisi siyo madereva wao, tumewapa masaa 48"

Madereva Bolt Dar Waandamana Mpaka Ofisi za Bolt, Wadai Makato ya Bolt Yako Juu
▶︎

Madereva Bolt Dar Waandamana Mpaka Ofisi za Bolt, Wadai Makato ya Bolt Yako Juu

Inama ya Unity Club | ACP Kuradupagase wahoze mu Ngabo za FAR
▶︎

Inama ya Unity Club | ACP Kuradupagase wahoze mu Ngabo za FAR

Bunge la Kumi na Tatu, Mkutano wa Tatu, Maajadiliano ya Muswada wa Fedha - Juni 25, 2026
▶︎

Bunge la Kumi na Tatu, Mkutano wa Tatu, Maajadiliano ya Muswada wa Fedha - Juni 25, 2026

Waziri Mkuu—Kufungia Mikutano Sio Ugomvi na Vyama vya Siasa: 'Tunataka Tushughulike na Wahalifu'
▶︎

Waziri Mkuu—Kufungia Mikutano Sio Ugomvi na Vyama vya Siasa: 'Tunataka Tushughulike na Wahalifu'

DIASPORA KUTOKA OMAN AFUNGUKA MAZITO - "NATAKA KUWA BILIONEA - NIKIRUDI NYUMBANI NIKATOE SADAKA"...
▶︎

DIASPORA KUTOKA OMAN AFUNGUKA MAZITO - "NATAKA KUWA BILIONEA - NIKIRUDI NYUMBANI NIKATOE SADAKA"...

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story
▶︎

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026
▶︎

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

Kesi Mpya ya Mali za CHADEMA Yazua Mabishano Makali Mahakamani, Waleta Maombi Wataka Iwekewe Zuio
▶︎

Kesi Mpya ya Mali za CHADEMA Yazua Mabishano Makali Mahakamani, Waleta Maombi Wataka Iwekewe Zuio