Jinsi ya kuanza biashara ya huduma za usafi na mtaji mdogo!
UNAWEZA KUAMINI KAMA NINGEKWAMBIA unaweza kuanzisha biashara ya huduma za usafi na kukupa pesa nyingi kwa kutumia chini ya shilingi MILIONI MOJA? Wengi wanafikiri unahitaji mamilioni na ofisi ya kifahari ili ufanikiwe kuanzisha biashara ya huduma za usafi kwenye ofisi. Huo ni UONGO MTUPU! Imani hii imewavunja moyo maelfu ya watu wenye ndoto, wakisha kujiuliza, “Hizo milioni za kuanzisha biashara ya huduma za usafi nitapata wapi?” LEO, TUNA ACHA HIYO HADITHI! Nataka nikuonyeshe jinsi watu wa kawaida KAMA WEWE wanavyo tumia kile kidogo walicho nacho na kutengeneza faida KUBWA! Kwenye video hii, nitakupa biashara ya huduma za usafi ambayo imethibitishwa kuleta faida kubwa kwa mtaji mdogo. How to start business Channel tunatoa elimu ya kuanzisha na kuendeleza biashara, kwa vijana waliomaliza vyuo vikuu na wanataka kujiajiri. Tunatoa elimu ya jinsi ya kuanzisha na kuendeleza biashara. Pia tunatoa elimu ya hesabu za biashara na uwekezaji katika biashara. Tunafundisha misingi sahihi ya kuanzisha biashara. Tuna eleza jinsi ya kutambua fursa za kuanzisha biashara. Pia tunafundisha umuhimu wa kuchangua makundi ya wateja. Tuna siitiza umuhimu wa kuwasiliana na wateja mara kwa mara kufahamu changamoto zao na mhitaji yao. Tunafundisha umuhimu wa kutengeneza hesabu za biashara. Hesabu za biashara husaidia kufahamu, kama biashara inapata faida au hasara. How to Start Business Channel inatoa elimu ya ujasiriamali kupitia vitabu, videos, website, Online School na Online Television 1. Kupata eBooks za Ujasiriamali, wasiliana nasi kupitia Whatsapp 0716 682 439 2. Link ya Tan Business Online School: https://ali-mwambola-s-school.teachab... 3. Website yetu: www.tanbusiness.co.tz 4. Mitandao yetu ya kijamii: Facebook: / tanbusiness Instagram: / tanbusiness YouTube: / alimwambola #jifunzeujasiriamali #vitabuvyaujasiriamali #alimwambola #tuongeebiashara #ujifunzeujasiriamali #mizungukoyaujasiriamali

FAHAMU TARATIBU ZA USAJILI WA KAMPUNI NA FAIDA ZAKE

#Jagina Evelyn Ulanga alivyojipata na biashara ya usafi.

Jinsi Alivyoacha Udaktari na Kujenga Biashara ya Bilioni 2 Kwa Mwaka Bila Mtaji | Full Masterclass

SIRI 5 MUHIMU ILI UWEZE KUFANIKIWA KIBIASHARA || MUHIMU ANZA KUZINGATIA MITANDAO - DUKAHURU

Kutana na Kijana aliyeuza chips na chapati mpaka kufungua Kampuni ya magari

Changamoto kwenye usafirishaji wa mizigo | Njia ya kuwakutanisha madereva na wenye mizigo

ZINGATIA MAMBO HAYA KAMA UNATAKA KUFANYA BIASHARA YA NAFAKA

Kutana na Sylvia Mende, mjasiriamali aliyejikita katika biashara ya usafi.

How Sharon Musiime Built a Multi-Million Cleaning Business in Uganda.

NAMNA YA KUANZA BIASHARA. Hizi ni hatua ambazo unaweza kuzitumia kuanza biashara.

"MAISHA NI MTIHANI KILA MTU KAPEWA WAKE - FAULU WAKO." ~ Ipm

Kijana Alieanza Kupaka Rangi Kucha Hadi Kua Boss Mkubwa/ Na Mfanya Biashara Mkubwa Asimulia

Kutana na mrembo msomi anayepiga 'deki' nyumbani, ofisini

How To Start A Cleaning Business: The Simplest Step-By-Step Guide

Sheria Talk: Muongozo wote wa jinsi ya kufungua kampuni Tanzania

Fahamu Biashara ya Kucha na Changamoto zake

Ufugaji wa Mbuzi ni Biashara kubwa hapa Tanzania

Kuanzisha Kampuni ndani ya Mwaka Mmoja Kuajiri zaidi ya Wafanya kazi 50

JE WAJUA? KUNA KIWANGO CHA NGUO ZA MITUMBA

