BODABODA AUAWA kwa KUKATWA SHINGONI KIKATILI - WENZAKE WAFURIKA MOCHWARI - DAKTARI AELEZEA...
BODABODA AUAWA KWA KUKATWA SHINGONI KIKATILI - WENZAKE WAFURIKA MOCHWARI - DAKTARI AELEZEA... Waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda wa Kata ya Nyarugusu, Halmashauri ya Wilaya ya Geita, mkoani Geita, wameiomba Serikali kupitia Jeshi la Polisi kuhakikisha wanamkamata aliyesababisha kifo cha mwenzao aliyechinjwa eneo la njia panda usiku wa kuamkia leo. Akizungumza baada ya kuusindikiza mwili wa marehemu hadi Hospitali ya Mji wa Geita, wakiwa pamoja na polisi Mwenyekiti wa Eneo la Egesho la Mahemeru-Nyarugusu, Amoni Paul, alisema alipokea taarifa alfajiri kuwa mmoja wa wanachama wao ameuawa karibu na njia panda ya Nyarugusu Hivyo walifika eneo la tukio na kukuta polisi wakiwa na mwili wa marehemu huku pikipiki yake ikiwa haipo. ============================================================ ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

JINSI BODABODA WALIVYOMWAGA VYAKULA NA POMBE MSIBANI WAKIDAI MAREHEMU HAKUWA ANAPEWA CHAKULA

ALIYESIKIA RISASI ZILIZOMUUA BODABODA GEITA ASIMULIA TUKIO ZIMA, HADI MAJAMBAZI KUKIMBIA..

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

BODABODA ASIMULIA ALIVYOTAKA KUUAWA na MAJAMBAZI PORINI - AKAPAMBANA - "NILIMVUTA PUA IKAPASUKA"...

MKE WA BODABODA ALIEKATWA MIGUU NA MIKONO ASIMULIA MWANZO MWISHO TUKIO LA MUMEWE KUTEKWA

🔵 POLISI MJIFUNZE KUPITIA KIFO CHA RPC TABORA -LEMA

Male lion attacks over 20 hyenas

Nyumba iria ndathire Saudi Arabia muthuri uria ndakorire kuu,anyitire kiahinya na agitua kamenyeri

Kufai na mwendwa wake kuremwo kuhitha wendo wao uthoni wao

BIBI wa SUMBAWANGA amvaa WAZIRI MKUU MWIGULU kwa madai haya MAZITO "sitaki kiwanja nataka hela"

How One Man Held a State Hostage – Until Police Struck Back

MSIJARIBU KUPITISHA! Kisumu boda boda riders reaction on Motorcycle Bill proposed by Khalwale!!

WACHINA WAKUTANA na RUNGU ZITO MAHAKAMANI - MAKOSA 253 ya UHUJUMU UCHUMI - RUSHWA - WAKOSA DHAMANA..

VIDEO: MIILI YA WAVUVI NANE YAPATIKANA ZIWA RUKWA, BASHUNGWA AELEZA OPERESHENI YA UKOAJI

VILIO vya FURAHA NYUMBANI kwa MTOTO ALIYETEKWA - MAJIRANI WAFANYA SALA NZITO WAKIMWAGA MACHOZI...

Anchor Media ''የአሜሪካው የቪዛ ማዕቀብ ትብብሩን ያፋጥነዋል'' ፕ/ር መሀመድ ሀሰን

MJUE AL MAKTOUM, BILIONEA wa DUBAI ANAYEISHI KAMA YUPO PEPONI..................

Athaki othe a mithako ya ngerekano kwaria uthonini wa Kufai

HILI NDILO NENO LAKE LA MWISHO AMBALO ALIMWAMBIA MUME WAKE WAKIWA PAMOJA JIKONI NA GAFLA AKAANGUKA

