KISA CHA SHILINGI ELFU 50 CHAGHARIMU UHAI WA FUNDI SIMU MWANZA

Ni simanzi na vilio katika Mtaa wa Jeshini, Kata ya Pamba Jijini Mwanza… nyumbani kwa familia ya marehemu Rashid Masunga, ambapo ndugu, jamaa na majirani wamekusanyika kuomboleza kifo chake. Rashid, mwenye umri wa miaka 31, aliyekuwa fundi simu na kompyuta mtaa wa Lumumba Jijini Mwanza, anadaiwa kupoteza maisha Machi 20, 2026 majira ya jioni baada ya kupigwa kikatili na watu watatu wanaodaiwa kuwa Polisi Jamii katika eneo la Bugando Misheni. Watuhumiwa hao wa mauaji, inadaiwa walimtuhumu marehemu kuwa mhalifu na kumtaka awape shilingi elfu hamsini ili waachane naye. Mama mzazi wa marehemu Pono, Anna Gabriel amesema kifo hicho kimeacha maumivu makubwa, akidai ni tukio la kinyama na la kujichukulia sheria mkononi. Viongozi wa eneo hilo wamekemea tukio hilo, wakisisitiza kuwa taratibu za kisheria zilipaswa kufuatwa badala ya matumizi ya nguvu. Marehemu aliyekuwa mkazi wa Nyamanoro B, kata ya Ibungilo ameacha mjane na watoto wawili wadogo ambao bado ni tegemezi. Mwili wa marehemu Rashid umehifadhiwa katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekoutore ukisubiri taratibu za mazishi.

MWANZO MWISHO TUKIO MTOTO ALIYEMUUA BABA YAKE NA BABU, KABURI CHUMBANI, “INATISHA AMEKIRI”
▶︎

MWANZO MWISHO TUKIO MTOTO ALIYEMUUA BABA YAKE NA BABU, KABURI CHUMBANI, “INATISHA AMEKIRI”

JIKO la MKAA LAUA MTOTO wa MWAKA MMOJA BABATI - WAWILI WANUSURIKA - MAMA ALIA AKISIMULIA...
▶︎

JIKO la MKAA LAUA MTOTO wa MWAKA MMOJA BABATI - WAWILI WANUSURIKA - MAMA ALIA AKISIMULIA...

MAMA WA MUUZA MADINI ALIYEULIWA AIBUA MAPYA, "ASKARI ALIYEFICHUA, AFIA KITUONI"
▶︎

MAMA WA MUUZA MADINI ALIYEULIWA AIBUA MAPYA, "ASKARI ALIYEFICHUA, AFIA KITUONI"

MKE AMUUA MUMEWE NJOMBE KWA KUMKATA NA PANGA WAKIGOMBEA JEMBE
▶︎

MKE AMUUA MUMEWE NJOMBE KWA KUMKATA NA PANGA WAKIGOMBEA JEMBE

WALIOCHIMBA MAHANDAKI BILA KIBALI MWANZA WANASHIKILIWA NA POLISI
▶︎

WALIOCHIMBA MAHANDAKI BILA KIBALI MWANZA WANASHIKILIWA NA POLISI

MKEWE LISSU ASHINDWA KUZUIA MACHOZI AKIONGEA MBELE YA KAMATI YA HAKI ZA BINADAMU YA JUMUIYA YA ULAYA
▶︎

MKEWE LISSU ASHINDWA KUZUIA MACHOZI AKIONGEA MBELE YA KAMATI YA HAKI ZA BINADAMU YA JUMUIYA YA ULAYA

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV
▶︎

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

BAADA ya HUKUMU ya POLISI KUNYONGWA: BABA wa MAREHEMU AMPONGEZA RAIS SAMIA na KUMWOMBA MWIGULU HAKI
▶︎

BAADA ya HUKUMU ya POLISI KUNYONGWA: BABA wa MAREHEMU AMPONGEZA RAIS SAMIA na KUMWOMBA MWIGULU HAKI

INATISHA: WANANDOA WAVAMIWA-WAPORWA MTOTO MIEZI 7 na GARI-WATUMBUKIZWA KWENYE MASHIMO ya VYOO KIBAHA
▶︎

INATISHA: WANANDOA WAVAMIWA-WAPORWA MTOTO MIEZI 7 na GARI-WATUMBUKIZWA KWENYE MASHIMO ya VYOO KIBAHA

MKE WA MAREHEMU PINIEL AZUNGUMZA KWA UCHUNGU WAMEDHULUMU UHAI WA MUME WANGU 'ATAZIKWA JUMAMOSI"
▶︎

MKE WA MAREHEMU PINIEL AZUNGUMZA KWA UCHUNGU WAMEDHULUMU UHAI WA MUME WANGU 'ATAZIKWA JUMAMOSI"

KIJANA BODABODA AUAWA KIKATILI MARANGU, CHANZO WATUHUMIWA WALITAMANI VIATU,MAPENZI, WATATU WAKAMATWA
▶︎

KIJANA BODABODA AUAWA KIKATILI MARANGU, CHANZO WATUHUMIWA WALITAMANI VIATU,MAPENZI, WATATU WAKAMATWA

MTOTO MLEMAVU ALAWITIWA ARUSHA, FAMILIA WATAKA KUMALIZA KESI KIMILA
▶︎

MTOTO MLEMAVU ALAWITIWA ARUSHA, FAMILIA WATAKA KUMALIZA KESI KIMILA

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA
▶︎

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA

ALIYEKUWA ASKARI WA JWTZ ASIMULIA ALIVYOFUNGWA JELA MIAKA 9 KWA KUSINGIZIWA TUKIO LA UJAMBAZI UBUNGO
▶︎

ALIYEKUWA ASKARI WA JWTZ ASIMULIA ALIVYOFUNGWA JELA MIAKA 9 KWA KUSINGIZIWA TUKIO LA UJAMBAZI UBUNGO

MTOTO wa ASKARI MAGEREZA ACHUKULIWA na KUNYONGWA MTWARA - MWENYEKITI ASIMULIAA - KAMANDA ATHIBITISHA
▶︎

MTOTO wa ASKARI MAGEREZA ACHUKULIWA na KUNYONGWA MTWARA - MWENYEKITI ASIMULIAA - KAMANDA ATHIBITISHA

MTANZANIA WA KWANZA KUFUNGWA GEREZA LA GUANTANAMO BAY, ALILIPUA UBALOZI WA MAREKANI
▶︎

MTANZANIA WA KWANZA KUFUNGWA GEREZA LA GUANTANAMO BAY, ALILIPUA UBALOZI WA MAREKANI

Mugarura ayogera obukodyo bwe baakozesanga mu bubbi bw’emmotoka
▶︎

Mugarura ayogera obukodyo bwe baakozesanga mu bubbi bw’emmotoka

DRC MASISI ZONE : ABANYA MASISI BAKIRIYE GOUVERNEUR BAHATI MUSANGA ERASTO  MU BYISHIMO BYINSHI
▶︎

DRC MASISI ZONE : ABANYA MASISI BAKIRIYE GOUVERNEUR BAHATI MUSANGA ERASTO MU BYISHIMO BYINSHI

MFUNGWA MIAKA  30 ATOKA KWA MSAMAHA WA RAISI, AELEZA MAZITO YA JELA, VIRUNGU
▶︎

MFUNGWA MIAKA 30 ATOKA KWA MSAMAHA WA RAISI, AELEZA MAZITO YA JELA, VIRUNGU

WATAKA KUPIGANA MAKONDE MBELE YA WAZIRI MKUU BAADA YA KUPEANA TALAKA MAHAKAMANI.
▶︎

WATAKA KUPIGANA MAKONDE MBELE YA WAZIRI MKUU BAADA YA KUPEANA TALAKA MAHAKAMANI.