Watoto wa Hidayatu Atfaal Wamliza Mwalimu wao kwa surprise ya Nasheed

Hii ni Nasheed iliyosomwa kwa hisia na watoto hawa hakika itakutoa machozi ni mengi aliyoyapitia mwalimu huyu yaliyomkwaza yasiyo mazuri lakini hakukata tamaa alimuelekea Allah na akampa subra na nguvu