Shuhudia Uvunaji wa kwanza wa samaki wa vizimba, Kisoko Mkoani Mwanza tarehe 25/09/2024.
Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo na Uvuvi, imeshuhudia uvunaji wa kwanza wa samaki wa vizimba katika eneo la Kisoko, Mkoani Mwanza tarehe 25/09/2024. Upandikizaji wa Samaki hao ulianza Februari 22, 2024 kwa vikundi 12 ambapo kikundi cha Vijana Nguvu Kazi kilikua cha kwanza kupandikiza vifaranga 90,720 katika vizimba vyao 9, samaki hao wanaovuliwa wana uzito wa kati ya gramu 500 hadi Kilo 1.2 na watauzwa kwa wastani wa TZS 8,000/= kwa kilo. Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kushirikiana na TADB inaendelea na utekelezaji wa programu ya utoaji wa mikopo ya masharti nafuu isiyo na riba ya pembejeo na zana ufugaji samaki kwa vizimba. Programu ilizinduliwa rasmi tarehe 30.01.2024 na Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ambapo wanufaika ni vikundi, vyama vya ushirika, makampuni na watu binafsi kutoka Kanda ya Ziwa. Hadi sasa vizimba 222 vya awamu ya kwanza vimepandikizwa vifaranga kwa awamu na sasa programu inaendelea katika Wilaya za Misungwi, Magu, Bunda, Rorya na Busega. #KilimoKinaBenkika

UVUNAJI WA SAMAKI KWENYE VIZIMBA ZIWA TANGANYIKA KIGOMA WAANZA, NAIBU KATIBU MKUU AFIKA

KUTOKA NDOTO HADI MAFANIKIO: JINSI TADB INAVYOBADILI TASWIRA YA KILIMO TANZANIA

IJUE HISTORIA ya JIJI LA DAR ES SALAAM, IKULU ya MAGOGONI na CHAMWINO! WAZEE WASIMULIA kwa KINA!

Kilimo Almasi: Ufugaji Wa Mbwa

LAUNCHING OF TADB GREEN AGRI-FINANCE STRATEGY 2025 - 2027

MFUGAJI WA SAMAKI KALAMBO RUKWA ANENA MAZITO

MFUGAJI AELEZA FURSA NA CHANGAMOTO ZA UFUGAJI WA SAMAKI KWENYE VIZIMBA, HII NDIO SIRI

Shuhudia Wafanyakazi wa kwanza wa TADB na safari ya miaka 10 ya ukuaji wa benki ya wakulima

MATAJIRI WA MBAO WAIANGUKIA TRA,WALIA UGUMU WA BIASHARA MBELE YA AFISA WA KODI, "ONDOENI ASILIMIA 18

Ushuhuda wa mama kifaru akisimulia Rev.Dr.Eliona Kimaro

PROF OMAR WA ACT WAZALENDO AISHAMBULIA OFISI YA MAKAMO WA PILI WA RAIS

HATUA KWA HATUA: Namna ya kufuga samaki katika vizimba, gharama zake

Ufugaji samaki kwenye vizimba wamuokoa kijana aliyekosa ajira ya alichosomea Chuo Kikuu

China’s Massive Livestock Farming – How Farmers Harvest Millions of Tons in Harsh Terrain

Ondoa sumu katika damu. Dr Boaz aeleza

KILIMO CHA UFUGAJI SAMAKI (KINYESI CHA NG'OMBE PIA NI CHAKULA KWA SAMAKI)

SAMAKI AINA YA SATO MWENYE UZITO MKUBWA AWA KIVUTIO SOKO KUU LA MUSOMA, WATEJA WAMGOMBANIA.

KIJANA AFUNGUKA MAZITO UFUGAJI WA SAMAKI KWA NJIA YA VIZIMBA

🔴LIVE: MWENYEKITI TAIFA ACT WAZALENDO OTHMAN MASOUD ANAFUNGUKA MUDA HUU

