Ibada ya Asubuhi | 11 - 06 - 2026 | Mt. Heavenlight Swai
Karibu katika Ibada ya Asubuhi kutokea hapa kanisa Kuu Azania Front Posta Dar Es Salaam SOMO: WINGI WA MAADUI USIKUONDOE KWENYE KUSUDI LA MUNGU ...................... 1 WAFALME 20:26-34 26. Basi ikawa mwakani, Ben-hadadi akawahesabu Washami, akakwea mpaka Afeki ili apigane na Israeli. 27. Wana wa Israeli nao wakahesabiwa, wakapewa vyakula, wakaenda kupigana nao; wakatua wana wa Israeli mbele yao kama vikundi viwili vya wana-mbuzi; bali Washami wakaijaza nchi. 28. Akaja yule mtu wa Mungu, akamwambia mfalme wa Israeli, akasema, BWANA asema hivi, Kwa sababu Washami wamesema, BWANA ni Mungu wa milima wala si Mungu wa nchi tambarare; basi nitawatia makutano haya yote walio wengi mkononi mwako, nanyi mtajua ya kuwa ndimi BWANA. 29. Wakatua kuelekeana muda wa siku saba. Ikawa siku ya saba vikapangwa vita; wana wa Israeli wakawapiga miongoni mwa Washami siku moja watu mia elfu waendao kwa miguu. 30. Lakini waliosalia wakakimbia mpaka Afeki, mjini; na ukuta ukaanguka juu ya watu ishirini na saba elfu waliosalia. Ben-hadadi naye akakimbia, akaingia mjini, katika chumba cha ndani. 31. Watumwa wake wakamwambia, Angalia sasa, tumesikia ya kuwa wafalme wa nyumba ya Israeli ni wafalme wenye rehema; tafadhali, tuvae magunia viunoni, na kamba vichwani, tumtokee mfalme wa Israeli; labda atakuokoa roho yako. 32. Basi wakajifungia magunia viunoni, na kamba vichwani, wakamjia mfalme wa Israeli, wakasema, Mtumwa wako Ben-hadadi asema Roho yangu, nakusihi, iishi. Akasema, Je! Yu hai bado? Ni ndugu yangu yeye. 33. Wale watu wakaangalia sana, wakafanya haraka kulishika neno hilo kama ni nia yake, wakasema, Ndugu yako, Ben-hadadi. Akasema, Haya! Nendeni mkamlete. Ndipo Ben-hadadi akamtokea, naye akampandisha garini. 34. Na Ben-hadadi akamwambia, Miji ile baba yangu aliyomnyang’anya baba yako nitairudisha; nawe utajifanyia njia huko Dameski, kama baba yangu aliyoifanya huko Samaria. Ahabu akasema, Nami nitakuacha kwa mapatano haya. Akafanya mapatano naye, akamwacha. ............... SADAKA LIPA NAMBA M-PESA: 579 579 4 👇👇👇 KWA MAOMBI NA USHAURI : ☎️ +255 748 290 290 MCH. VICTOR MAKUNDI #azaniafrontcathedral #morningprayer #lutheran #morningprayer #nenolamungu #biblia ........................

Ibada ya Lunch hour | 10 - 06 - 2026 | Mt. Heavenlight Swai

Ulisema Naposhindwa Nikuite | Powerful Swahili Worship Prayer Mix 2026

#GICCONLINE:Tunahitaji nguvu ya Mungu | Bishop Lauden Mwafongo | 07th June, 2026

South africans now Beg for forgiveness as more African Countries Retaliate over Xenophobic attacks

Worship Music 2026 ✝️ | Nonstop Christian Praise & Worship Songs Playlist

(No Ads) Melt Away Tension 🌸 Gentle Piano & Pastel Flowers for Mindfulness

My Father Realized He Was Raising A Criminal - Pastor T. Mwangi (Woman Without Limits)

Smooth Jazz & Soul R&B 24/7 – Midnight Jazz Lounge | Relaxing Instrumental Vibes

The Story of Isaiah - The Prophet of Salvation and Divine Judgment

Fresh Benny Hinn Worship Songs 2026 | Worship Moments at @firstlovecenter

DALILI ZA KUKUJULISHA UNASHAMBULIWA KIROHO || PST. GEORGE MUKABWA || 15/06/2023

Powerful Swahili Worship Songs | Ombi Langu, Hakuna Silaha, Mimi Siwezi | Deep Prayer Worship Mix

Ibada ya Lunch hour | 04 - 06 - 2026 Mt. Baraka Mbise

Instrumental Worship Guitar : Best Worship Song | Peaceful, Relaxing Instrumental Hymns on Guitar

MAOMBI YA ASUBUHI. KUVUNJA KILA KIFUNGO By Pst Victor Tullo.

Pope Leo XIV’s Powerful Message to the Cardinals Shakes the Vatican — Every Catholic Should Hear It

Best Morning Worship Songs 2026-2 hour Playlist with Praise, Holy Forever & Oceans |Feel God’s Peace

Ibada ya Asubuhi | 10 - 06 - 2026 | Mt. Heavenlight Swai

SIKU YA 5.Sababu zinazokufanya uombe.Mwl Hance Mwambene.

