SHAYO: BOSCO HAKUTAKA NIWE MBUNGE
Moshi: Mbunge wa Moshi Mjini, Ibrahim Shayo, amesema marehemu mfanyabiashara maarufu Bosco Benedict Chuwa aliwahi kumweleza wazi kuwa hakutamani amwone akiingia kwenye siasa za ubunge, akiamini kuwa alikuwa mtu asiyejua kusema uongo. Shayo ametoa kauli hilo leo Julai 10, 2026, wakati wa ibada ya kuaga mwili wa Bosco iliyofanyika nyumbani kwa marehemu, Mtaa wa Kambaita, Kata ya Soweto, Manispaa ya Moshi. Amesema kabla ya kugombea ubunge aliwahi kumtembelea Bosco nyumbani kwake na kumuuliza kwa nini hakuwa akiunga mkono azma yake ya kuwa mbunge. “Aliniambia, ‘Mheshimiwa Mbunge, unajua ni kwa nini mimi sitaki uwe mbunge wewe? Najua tabia yako.’ Nikamuuliza, ‘Tabia gani?’” Kwa mujibu wa Shayo, Bosco alimweleza kuwa alikuwa akimwamini kwa bidii yake ya kazi, lakini alikuwa na wasiwasi kwa sababu alikuwa mtu wa kusema ukweli wakati wote. “Aliniambia, ‘Ibra mdogo wangu, Mungu amekujalia una kila kitu. Katika vijana ninaowaamini kwenye bidii ya kazi wewe ni namba moja. Lakini Ibra, hujui kusema uongo. Kwa nini unataka kuwa mbunge?’” Shayo amesema baadaye alitambua kuwa maneno hayo hayakutokana na chuki wala kumkatisha tamaa, bali yalikuwa ni mtazamo wa Bosco kuhusu changamoto za uongozi na umuhimu wa kuendelea kushikamana na uadilifu na kusema ukweli.

MAGARI YA KIFAHARI YENYE MWILI WA TAJIRI BOSCO YAZUNGUKA MJINI MOSHI, POLISI WAONGOZA MSAFARA

Bosco Chuwa kuzikwa ijumaa,familia yatangaza "Bosco Night" kumuenzi

AIBU UTAONA WEWE! BILIONEA WA GEITA ANAYETREND HARUSI YA BINTI YAKE, AMPA BILIONI 1 KWA HASIRA

TFF IMESIKIA NA KULIFANYIA KAZI OMBI LA SIMBA

Once Upon a Time in the West Best Scenes 🌀 4K

ALIKIBA ALIPWA MILIONI 310 HARUSI YA MTOTO WA BILIONEA GEITA, ALIYEHUDHURIA HARUSI ASIMULIA YOTE

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST

HOW DO WE BUILD THE NEXT GENERATION OF TANZANIAN BANKERS?

Man Renovates ABANDONED STONE HOUSE in 3 years and Gives it a New Life

Man Uses FREE ABANDONED PALLETS to Build a House in the Forest | Full Build by @lesnoy

Darubini ya Kisauni | Mikoba Ya Demokrasia

Italian PM Meloni’s Awkward NATO Dinner Snub Amid Trump Feud

ITAKULIZA HOTUBA HII YA UKOMBOZI NA UZALENDO WA MFALME JPM KWA SISI WATOTO WAKE.

PROFESSOR KITILA MKUMBO CALLS FOR A NEW CONSTITUTION | CLAIMS THE CURRENT ONE IS FOR A SINGLE-PAR...

I CAME TO HER 50TH BIRTHDAY JUBILEE BECAUSE SHE HAS CONTRIBUTED SO MUCH TO OUR CHURCH

RAIS SAMIA AJIBU TAMKO LA JUMUIYA YA MADOLA “TANZANIA TUNAJALI HAKI ZA BINADAMU”

SEFUE AZUNGUMZIA MAANDAMANO, GEN Z NA CHANGAMOTO ZA MALEZI

HATIMAE! RAIS SAMIA AKUBALI OMBI LA MWABUKUSI " MWABUKUSI NIMEMLEA ALIKUJA KUNIONA" AGUSIA KUNYONGA

Maendeleo or Voter Bribery? What's Happening in Ol Kalou? | Gabriel Muthama

