Dhamira yetu isiyumbe hadi ushindi kamili | KAULI YA OMO
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, anasema dhamira ya kuinusuru Zanzibar ndiyo inayowahakikishia ushindi kwenye uchaguzi wa Oktoba 29, 2025.
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, anasema dhamira ya kuinusuru Zanzibar ndiyo inayowahakikishia ushindi kwenye uchaguzi wa Oktoba 29, 2025.