Dhamira yetu isiyumbe hadi ushindi kamili | KAULI YA OMO

Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, anasema dhamira ya kuinusuru Zanzibar ndiyo inayowahakikishia ushindi kwenye uchaguzi wa Oktoba 29, 2025.