Huyu ndiye Ng'ombe anayeuzwa Sh5 milioni kwenye maonyesho ya nanenane Dodoma
Mfugaji kutoka Wilaya ya Kongwa, Kenton Mshando aliyepo kwenye maonyesho ya Nanenane kanda ya kati yanayofanyika jijini Dodoma amesema kuwa Ng'ombe wake aina ya Kamando anauzwa Sh5 milioni huku Baba yake akiwa ameuzwa Sh7 milioni. Mshando amesema kuwa ndama wa miezi 6 wa kamando anauzwa shilingi laki nane, huku ndama wa umri wa miezi 8 akiuzwa Sh1 milioni.

▶︎
MBWA MKUBWA ANAYEUZWA MILIONI 30 ARUSHA, AWA KIVUTIO MAONESHO YA NANE NANE

▶︎
Cooking A Massive Lamb Pilaf For a Mountain Village Feast!

▶︎
JE UNAZIJUA KAZI ZA NARCO?

▶︎
🔴#LIVE: RAIS SAMIA AKISHIRIKI MAONESHO YA NANENANE MBEYA

▶︎
JAMAA WA MBWA WA MILIONI 100 AIBUKA TENA AFUNGUKA MAPYA

▶︎
Kilimo Almasi | Ufugaji wa ng'ombe wa maziwa

▶︎
Kupata faida kubwa kupitia kunenepesha ng'ombe wa asili ( tazama mpaka mwisho ujifinze kitu)

▶︎
UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?

▶︎
#TBC-SHAMBANI : FAHAMU KUHUSU UNENEPESHAJI WA NG'OMBE

▶︎
JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT

▶︎
Kilimo Almasi: Ufugaji Wa Ng'ombe Wa Maziwa

▶︎
UFUGAJI MBUZI, UZAO MAPACHA 2 HADI 3, MBEGU BORA KIBIASHARA, UZOEFU WA MFUGAJI, KUZAA MARA 3

▶︎
TAZAMA KUKU WA MAAJABU, KUUZWA MILLIONI 1 NANENANE DODOMA

▶︎
TAZAMA:MKURUGENZI WA ASAS ANENA KUHUSU MBUZI MWENYE MAAJABU MBELE YA RAIS SAMIA, 'UFUGAJI BORA'

▶︎
Mbinu bora za ufugaji wa ng'ombe za maziwa na faida zake kwa mfugaji || BORESHA KILIMO

▶︎
Hawa ndio kuku wa Sh1 Milioni waliotikisa kwenye NANENANE Dodoma; Mwenyewe afunguka anao 150

▶︎
| Kilimo Biashara | Ng'ombe wa Boran ni chaguo bora kwa wafugaji wengi

▶︎
NG'OMBE GHALI ANAUZWA MILIONI 30, AMENONA, ANA KILO 970, MBEGU ZAKE DILI KUBWA, MMILIKI ANAO 76

▶︎
KUNA NG'OMBE WANA UZITO WA TANI MOJA (KG 1,000)

▶︎
