#TAZAMA| MAAGIZO YA NAPE UJENZI WA JENGO LA WIZARA YA MAWASILIANO MTUMBA
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amekagua ujenzi wa jengo la wizara hiyo unaoendelea katika mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma na kuagiza mkandarasi anayejenga jengo hilo, Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kuharakisha ujenzi huo ambao awali lilitakiwa kukamilika mwezi wa Nne mwaka huu. Awali, mkandarasi huyo aliomba kuongezewa muda wa kukamilisha ujenzi huo mpaka mwezi wa 10 au wa Nane ili kukamilisha ujenzi huo ambao amesema wamechelewa kukamilisha ujenzi huo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo upatikanaji wa malighafi za ujenzi pamoja na kupanda kwa gharama za malighafi hizo. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: / spotileo-176. . HabariLeo: / habarileo DailyNews: / dailynewstz INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09

CHALAMILA AMALIZA MGOGORO WA NYUMBA DAR, ATOA MAAGIZO HAYA

SEMAJI AHMED ALLY AKIZUNGUMZA NINI KINAFUATA BAADA YA LIGI KUTAMATIKA/FAINALI DHIDI YA AZAM FC

MRADI WA UJENZI WA VITUO VYA KUPOZA UMEME MATEMWE NA MAKUNDUCHI

#live; HAFLA YA KUKABIDHI ENEO LA UJENZI WA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM TAWI LA KAGERA|

Dkt. Lwaitama akosoa agizo la Waziri Katambi, Akemea mpasuko na Kutoa Ushauri kwa Taifa.

NHC Kuanza Ujenzi wa Jengo kama la Mlimani City Dodoma.

TAZAMA BASHUNGWA ALIVYOWABANA WAKANDARASI WANAOJENGA BARABARA YA MZUNGUKO DODOMA, 'IKAMILIKE 2025'

Dkt. Stergomena Atembelea Mradi Ujenzi Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa-Kikombo

OFISI ZA WIZARA YA NISHATI MTUMBA- KITOVU CHA UTOAJI WA HUDUMA BORA SEKTA YA NISHATI

PROF OMAR WA ACT WAZALENDO AISHAMBULIA OFISI YA MAKAMO WA PILI WA RAIS

BIL. 23 KUJENGA JENGO LA GHOROFA 6 TAMISEMI, KUJENGWA KWA MIEZI 24

Boleros de Medianoche – Ecos de La Habana

MAANDALIZI YA AFCON YASHIKA KASI DAR ES SALAAM CHALAMILA AAGIZA VIWANJA VIKAMILIKE KWA WAKATI

LIVE SCENE, NAPE akitolewa Bastora Hadharani. KITENGE AAMULIA

Maendeleo ya Ujenzi wa Kiwanda cha Mafunzo na Uzalishaji

EXCLUSIVE: MZEE YUSSUF CONSIDERS QUITTING LOVE SONGS, OPENS UP ABOUT LEAVING TAARAB

Why Russia is Suddenly Losing in Ukraine

MSLAC YASULUHISHA MGOGORO WA ARDHI ARUSHA, WANANCHI WAFUNGUKA

ZIARA YA MUHANDISI WA TARURA: AKIKAGUA MRADI WA MAENDELEO BARABARA YA KM 4 SADALA ZAVARA,

