HOMA:Dalili,Sababu,Matibabu

#Nyamweli_Nyamweli #Homa #WikiElimu Homa (fever) ni dalili inayotajwa mara kwa mara kuelezea ongezeko la joto la mwili kuliko kiwango cha kawaida (kiwango cha kawaida cha joto la mdomoni ni 36.8 ± 0.7 ° C au 98.2 ± 1.3 ° F). Homa huelezeka kama ongezeko la muda mfupi la joto la mwili, kwa kawaida huwa karibu 1-2 ° C. Homa sio ugonjwa bali dalili ya ugonjwa. TUFUATILIE *Website:http://wikielimu.com/index.php?title=... *Facebook:https://web.facebook.com/WikiElimu/?_... *Instagram:  / wikielimu   *Twittwer:  / wikielimu   *Music credit:https://www.free-stock-music.com/ ASANTE SANA