Raila Odinga amsuta Gavana Amason Kingi kwa kuhamia Kenya Kwanza

Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya sasa unadai kuna njama ya kuiba kura kupitia mabadiliko yanayotekelezwa katika tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC. Wanasiasa katika mrengo huo wanadai kuna baadhi ya maafisa wanaopanga kushirikiana na wapinzani wao ili kutekeleza wizi wa kura. Walisema hayo leo kwenye mkutano wa hadhara katika kaunti ya Kilifi. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya