MAMBO 5 yatakayokuwezesha KUSIKIA SAUTI YA MUNGU

Mambo 5 yatakayokuwezesha kusikia SAUTI YA MUNGU. Wengi tunatamani Mungu aongee na sisi lakini kiuhalisia, tunakosa vigezo vya kuisikia sauti yake. Wengine huamini kuwa Mungu hasemi na watu, ila video hii itakufundisha njia ambazo Mungu hutumia kusema na watu wake na pia itakupa mambo 5 ambayo ukiyafanya utafanikiwa kuisikia sauti ya Mungu Kwa ufasaha. Karibu! Muandishi: @davidtry4ne Sauti; @davidtry4ne Production: @davidtry4ne Camera: @ Follow:   / davidtry4ne   Timecodes 0:00 - 0:00 - Njia ambazo Mungu hutumia kuzungumza 2:54 - #1: Mtumikie Mungu 5:20 - #2: Tamani hisia za rohoni 8:57 - #3: Uwe na Roho Mtakatifu 11:43 - #4: Ishi & lala ndani ya hekalu la Bwana 13:39 - #5: Ijue sauti ya Mungu Contact: David Tryphone Rutaihwa [email protected] +255621324701 #gospel #yesu #biblia #mungu #tanzania #neno #kenya #uganda