Fahamu madhara ya matumizi ya Tumbaku

#tanzania #afya #tobacco #cigarette #cigars #shisha #sigara Shirika la Afya Duniani (WHO) linabainisha kwamba matumizi ya tumbaku ni moja ya tishio kubwa la afya ya umma kuwahi kutokea ulimwenguni, kwa kuwa yamekuwa chanzo cha vifo vya zaidi ya watu milioni 8 kila mwaka duniani kote. Zaidi ya vifo milioni 7 kati ya hivyo ni matokeo ya matumizi moja kwa moja ya tumbaku, huku takriban vifo milioni 1.3 ni matokeo ya watu wanaoathirika na moshi wa sigara kutoka kwa wavutaji au bidhaa nyingine za tumbaku. Kwa habari zaidi: Soma: https://nukta.co.tz/ Twitter:   / nuktatanzania   Facebook:   / nuktatanzania   Subscribe kwa makala zaidi za kina na kiuchambuzi @Nukta TV