Medani ya Vita Part 2
Wenyeji Afmadhow washerehekea ushindi wa KDF. Kila nyumba ilikuwa ikitozwa Sh 1,600 na Al Shabaab. Kukombolewa kwa mji wa Afmadhow na wanajeshi wa Kenya wakishirikiana na wale wa serikali ya mpito ya Somalia kulikuwa ni sawa na kuwasili kwa mwokozi kwa wenyeji wa mji huo. Kwa muda wa miaka minne , wenyeji walikuwa wakilazimishwa kulipa ada ya shilingi elfu moja na mia sita kila chumba kwa kundi hilo. Kando na hayo, mkuu wa wilaya ya afmadhow alifukuzwa kutoka kwa afisi zake na zikawa zikitumika kama afisi za kundi hilo haramu. Franklin Macharia anaarifu katika sehemu ya pili ya makala ya medani ya vita.

▶︎
Journey to Afmadow Part 1

▶︎
HUNTING AL- SHABAAB: Inside 10 years of war on terrorism in Somalia. #KDF #KenyanForces #AMISOM

▶︎
| KIWEWE CHA VITA | Wanajeshi ambao hawajarejea kutoka Somalia

▶︎
Adam Malima Atibuana na Polisi, Wafyatua Risasi Hewani

▶︎
Medani Ya Vita

▶︎
Incredible Metal Magazine Manufacturing in Local Factory

▶︎
Mapigano makali yalishuhudiwa kati ya wanajeshi na Al Shaabab 2012

▶︎
Long Road to El Adde Attack: How the attack on the Kenyan soldiers in Somalia was planned

▶︎
KIMEUMANA! Listen to what Gachagua's lawyers said after High Court upheld Gachagua's impeachment!

▶︎
Operation Linda inchi as Kenya soldiers hit Al shababs on day 4

▶︎
2011 Events: Citizen TV's Somalia Back Story

▶︎
How South Africa Lost Africa’s Most Powerful Army: The Full Breakdown

▶︎
Penzi Hatari: Jamaa akwama na kushikwa akishiriki ngono na mke we wenyewe Malaba

▶︎
On foot in Kulbiyow: NTV obtains exclusive access to KDF base in Somalia

▶︎
KDF finally sets foot in Kismayu | Capital News

▶︎
SOG Intensifies Fight Against Al-Shabaab in Boni Forest

▶︎
Jicho Pevu Matapeli Tanashati Part 2

▶︎
Gun Battles in the Streets of Somalia - Indian Ocean with Simon Reeve - BBC

▶︎
KDF forms elite unit for rescue missions of personnel behind enemy lines

▶︎
