Wachina 65 Waanza Kufundishwa Kiswahili Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Wachina 65 Waanza Kufundishwa Kiswahili Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), Kimeanza kutoa mafunzo rasmi kwa raia 65 wa China ,ambao wamejisajiri rasmi chuoni hapo ili kupata mafunzo ya lugha ya Kiswahili yatakayowasaidia kuendeleza mahusiano ya kibiashara na Nchi ya Tanzania. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mafunzo hayo, Prof. Aldin Mutembei ambaye pia ni Mkurugenzi Mwenza wa chuo hicho, alisema kuwa mafunzo hayo yatasaidia kurahisisha mawasiliano ya kibiashara kati ya Wachina hao na Watanzania. lnstal GlobalPublishersApp Android: http://bit.ly/2AAQe1d iOS: http://apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

UTACHEKA KUTANA NA AISHA MCHINA ANAEPIKA VYAKULA VYA KITANZANIA CHINA

CHAN 2024 | Utamu wa jiji la Dar es Salaam kama unavyooneshwa na Fatma Chikawe

ALIKIBA ATEMA NYONGO, HARMONIZE KUWACHUKUA WASANII WAKE AMPA MAKAVU LIVE

JORAMU NKUMBI: Fundi wa KISWAHILI aliyesoma Hisabati Chuo Kikuu, aliambiwa atakuwa mwanga wa dunia

Lugha ya Kiswahili yazidi kukua

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

| LONGALONGA | Jifunze Kiswahili sanifu

BODA BODA AGONGA TRENI - MUENDESHA PIKIPIKI ZINGATIA USALAMA UNAPOVUKA KATIKA KIVUKO CHA RELI

MAKALA l Hii ndiyo Dar es Salaam usiyoijua

Juhudi za Taifa la China katika kukuza Lugha ya Kiswahili.

Rais Samia wa Tanzania anatafuta nini Urusi? Katika Dira ya Dunia TV

DUDU BAYA AMTAJA MSTAAFU KIKWETE na MWAMPOSA - ''SIKU NIKIFA WATAKUJA KUBUSU KABURI LANGU''...

MCHIZI MOX AMKATAA MAJANI - ''SIYO PRODUCER MKUBWA - TULIVYOANDIKA MIKASI NGWEA HAKUWA TUNGI''...

HII HAPA SAFARI SGR DAR HADI MORO, NDANI YA TRENI YA SGR

WACHINA WALETA FUJO KWA WAFANYABIASHARA KARIAKOO,WAPORA FURSA ZA WAZAWA

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA ZA KUTOSHA BUNGENI BAADA YA KUPINGA VIKALI TABIA ZA KISHOGA

Dar es Salaam itajivua vipi taji la kuwa miongoni mwa miji michafu zaidi duniani ?

FESTIVAL ya WACHINA Dar, washeherekea Utamaduni, inaitwa MID AUTUMN festival

RAIS SAMIA AKIMUAGA RAIS SHANMUGARATNAM wa SINGAPORE - IKULU DAR ES SALAAM...

