KINSHASA HADI KAZIMIA MASHAMBANI - MKUU WA SHIRIKA AFUNGUKA

Video hii inabeba maojiano kati ya mwandishi wa habari na Mkuu wa shirika linalo husika na kilimo kutoka Kinshasa. Huku ikionyesha baazi ya shuguli za kilimo kama vile upandaji miti shambani ikiwemo pia maojiano na wakulima huku ikionyesha mazingira na maisha halisi ya wakulima wakiwa shambani ( Farmer and Rural life ).