PROF.MBARAWA ARIDHISHWA NA MRADI WA UJENZI WA CATC, ASISITIZA UBORA NA KUAKISI THAMANI YA FEDHA
Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa Machi 04, 2026 alifanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Mradi wa majengo ya Chuo cha Usafiri wa Anga (CATC) katika eneo la Banana, jijini Dar es Salaam na kusisitiza umuhimu wa mradi huo katika kuimarisha sekta ya usafiri wa anga nchini. Akizungumza mara baada ya kukagua mradi huo,Prof.Mbarawa alisema ameridhishwa na maendeleo ya mradi huo ambao mpaka sasa Ujenzi wake uko ndani ya muda na unaendelea kwa kasi inayotakiwa na katika ubora, ratiba, viwango vya kitaalamu na thamani halisi ya fedha I ikizingatiwa. Aliongeza kuwa Serikali ya awamu ya sita imefanya mambo makubwa kwenye sekta ya anga ikiwemo ujenzi na uboreshaji wa viwanja vya ndege karibu kila mkoa, ununuzi wa ndege na sasa imejipanga kuendelea kuimarisha miundombinu ya mafunzo ya sekta ya anga ili kuzalisha wataalamu wenye ujuzi wa hali ya juu watakaokidhi mahitaji ya soko la ndani na kimataifa. Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania ni taasisi ya umma yenye jukumu la kudhibiti sekta ya usafiri wa anga katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mamlaka iliundwa kwa Sheria ya Usafiri wa Anga, Sura ya 80 (R.E 2006). Majukumu ya kisheria ya Mamlaka ni kudhibiti masuala ya ki-usalama, ki-uchumi katika usafiri wa anga na kutoa huduma za uongozaji ndege. Pia Mamlaka inatoa huduma za uongozaji ndege kwenye vituo vya ndege kumi na nne (14) ambavyo ni: Dar es Salaam, Kilimanjaro,Tanga, Arusha, Mwanza,Tabora,Kigoma, Dodoma, Iringa, Songwe, Songea, Mtwara, Zanzibar na Pemba

SGR TABORA KIGOMA UJENZI UNASONGA MBELE

KAMATI YA KUDUMU BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMEBELEA MRADI WA UJENZI CATC

KAMATI YA KUDUMU BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMEBELEA MRADI WA UJENZI CATC

TANZANIA YASHITAKIWA MAHAKAMA ya KIMATAIFA ya HAKI za BINADAMU AFRIKA kwa KESI NNE - HUKUMU YATOKA..

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Yafanya Ziara ya Kikazi TCAA

AYATOLLA KHAMENEI BADO YUKO HAI UKITULIZA AKILI KWENYE VIDEO HII UTAMUELEWA MCHAMBUZI ANACHOSEMA

Mkurugenzi Mkuu TCAA Ndg.Hamza Johari Akizungumza Katika Kipindi Cha Tunatekeleza TBC ONE

🔴LIVE: MSIKILIZE DKT. NCHIMBI ANAFUNGUKA MUDA HUU

Rais Samia wa Tanzania anatafuta nini Urusi? Katika Dira ya Dunia TV

UJENZI WA SGR MAKUTUPORA - TABORA, JUMLA YA UREFU TAKRIBAN KM 294 SASA KUANZA | @TRCRELITVTANZANIA

TIKETI YAKO HAKI YAKO - MWANZA

HAKI ZA MSAFIRI

Dodoma Tanzania is Changing Very Fast. Watch this

ICAO LAW TREATY 2026

China Is Building East Africa's Largest Port in Tanzania

China's state TV airs 8-min footage covering President Xi Jinping's state visit to the DPRK

Unbelievable ! Tanzania Has Got The Widest Road in East Africa - Ubungo Interchange

TAZAMA UJENZI WA SGR TABORA-KIGOMA UNAVYO ZIDI TUTEKELEZWA KWA UBORA WA HALI YA JUU

Mahojiano Radio 5 Kuhusu Haki za Msafiri na Mtumiaji wa Usafiri wa Anga

