Hivi ndivyo unavyokuwa msafara wa Maalim Seif akiwa ziarani tangu awe makamo wa rais Zanzibar

Makamo wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akitoka nyumbani kwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Act Wazalendo Ismail Jussa. MAALIM alikwenda kimjulia hali Jussa baada ya kuwasili visiwani Zanzibar jana 10.12.2020 akitokea Nairobi, Kenya alikokwenda kufanyiwa matibabu baada ya kupigwa vyombo vya dola katika uchaguzi wa Oktober 2020.