Usafiri mbadala Ujerumani

Usafiri mbadala ni jambo linalotiliwa mkazo kwenye miji mikubwa barani Ulaya ili kunusuru Mazingira. Mjini Berlin yamefanyika maonesho ya kuwahimiza watu kuachana na magari binafsi na kugeukia usafiri mbadala ili kunusuru mazingira. Video na Harrison Mwilima. Kurunzi Ujerumani 13.08.2020