MOYO USIOCHOKA- F.M. Shimanyi, Kwaya ya Mt. Karoli Lwanga, Haneti-Dodoma (Official -FHD Video)

Karibu Utazame wimbo mzuri,wenye tafakari ya Maisha ya kumtegemea Mungu,Wakati wa Mungu Ukifika hakuna wakuzuia Barake Za Mungu.Wimbo Umeimbwa na Kwaya ya Mt. Karoli Lwanga,Parokia ya Bikira Maria wa Mateso-Haneti, Jimbo Katoliki la Dodoma. Mtunzi: F.M. Shimanyi Organist: Fausto Kazi Sound Engineer: F.M.Shimanyi Director: F.M.Shimanyi Co-Director & Video Editor: Mdete TM Audio & Video By: CGen Production +255765449914 #kwayakatoliki #gospelmusic #tanzaniagospel #dodoma