TEMBEA KWA IMANI NA SI KWAKUONA

Description: Tembea kwa imani, si kwa kuona — Neno hili linatukumbusha kumtumaini Mungu hata pale tusipoona njia mbele yetu. Ujumbe huu wa Ev. Delphin utakujenga, utakutia moyo, na kukuimarisha katika safari yako ya kiroho. Barikiwa sana kwa kutazama na kushiriki. 🙏📖🔥